Pre GE2025 Nasikitika kusema mfumo wa CHADEMA bado hauna uwezo wa kupewa uongozi wa nchi, labda waufanyie marekebisho au tuwape muda zaidi miaka 10 au 15 ijayo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pumba ya mchele hii haina kirutubisho chochote.
Sikulaumu mkuu kuwa na uwezo mdogo wa kujenga hoja
Ila nalaumu Mfumo wa cdm kushindwa kuandaa vijana wenye uwezo wa kujenga hoja

Mfumo wa kuandaa vijana wa chama wenye uwezo nao unahitaji Sana mabadiliko
 
CHADEMA kitaendelea kuwa chama cha upinzani kwa miaka mingi sana ijayo.
Ni kweli mkuu Ila bado Wana nafasi ya kufanya mabadiliko makubwa wakutuletea chama chenye Mfumo imara kuliko hata kilichopo
 
Sikutegemea uje hoja dhaifu namna hii
Anyway ndo fikra zilizopo Cdm kwa Sasa
Mnataka kujilinganisha badala ya kujiiimarisha na kuboresha Mifumo yenub
ila kujali mazingira ya nchi husika
Naona kwenye hoja yako unatembea na marking scheme kabisa, hivyo ukipewa majibu tofauti na matamanio yako, unafikia hitimisho hilo.
 
Uwezo wao tunataka tuone kwanza NDANI ya chama chao mkuu
Hizi sio propaganda ni uhalisia unaonekana kwenye chama chao achana na hisia kwenye Ishu za nchi

Fikra matope ni kudhani udhaifu wa Chadema utaisha baada ya kushinda uchaguzi na si kinyume chake

Tunatamani Sana vyama upinzani lakini tunataka vyama vyenye Mifumo imara na Bora kuliko kilichopo madarakani
Kama chama kinakosa mbadala wa kiongozi wake wa juu ndo tunawapaje nchi
 
Nashukuru mkuu kwa hoja yenye nguvu kabisa
Sasa hututamani tuone hili kwenye chama mbadala
Kwa sababu hatutakuwa na haja kubadilisha Kama wao ni dhaifu zaidi ya waliopo
 
CCM mnamuogopa sana Mbowe! Wacha awatoe kamasi nyie
Ndo udhaifu nao usememea Mfumo wa Chadema kuandaa vijana dhaifu na wenye uwezo mdogo wa fikra Kama ww
Inasikitisha Sana
Sijui mlezi wa bavicha ni nani kwa Sasa
Kwa hiyo Mbowe akiondoka Leo Cdm inakufa
So sad
 
J
Ungejikita kwenye kujadili namna ya kusaidia Mfumo wa Chadema uwe Bora kuliko Ccm ili wakipewa uongozi wawe Bora kuliko ccm

Nashangaa umeacha hoja ukakimbilia kumshambulia Ccm
Ccm tunajua Ina mapungufu yake makubwa tu ndo maana tunatamani tuwe na chama kingine Bora kuliko hicho
 
Sikulaumu mkuu kuwa na uwezo mdogo wa kujenga hoja
Ila nalaumu Mfumo wa cdm kushindwa kuandaa vijana wenye uwezo wa kujenga hoja

Mfumo wa kuandaa vijana wa chama wenye uwezo nao unahitaji Sana mabadiliko
Wewe unajidhania una hoja lakini wanaokuona wanaona vioja.
 
Ukiona adui yako anakusifia jiangalie sana kuna mahali unakosea. Inatakiwa iwe hivihivi, vumilia tu dawa iingie
Naendelea kulaumu Mfumo wa Cdm kuandaa vijana dhaifu kujibu hoja

Kwenye siasa hakuna uadui mkuu achana na hizo fikra
Nchi ni moja vyama sio maadui ni watu wenye tofauti za kimtazamo misimamo na fikra
 
Ukishaona ID anajiita mzalendo, au ndani ya andiko kuna MTU anajiita mzalendo ujue ni mpumbavu WA Kijani. Wanakua na maandiko marefu yaliyojaa upumbavu. This one is one of them
Sishangai ndo udhaifu nausemea wa Mfumo kutoaandaa vijana wenye uwezo wa kujibu hoja

Si unaona umeacha hoja ukakimbilia ID
 
Chadema hawana uwezo wa kuongoza nchi Ila Kama tumeweza kuongozwa na form four failure inabidi tuwape na tukishawatoa CCM tutapambana wenyewe kwa wrnyewe
 
Huo ndo udhaifu nausemea mkuu
Haiwezekani Mfumo wa Chama utegemee MTU kwenye mfumo wake wa kipato
Hapo demokrasia itaathirika kwa sababu nani atathubutu kupingana na MTU anayefadhili chama
Kesho tukiwapa nchi huyo MTU akitaka kujilipa ?
Watajuana wenyewe..wao kaz yao ni kubisha tu hata wakipewa marekebisho...
 
Nashukuru mkuu kwa mchango wako

Ingawa hoja yangu imejikita kwenye udhaifu wa Mfumo wa NDANI ya Chadema kwanza

Nafikiri tujikite hapo kwanza
Narudia kusema picha tunaiona NDANI Mfumo wa Cdm Leo ndo hiyo
Watatatumia hata wakichukua madaraka Leo
Tusitegemee kubadilika baada ya kushinda hata kidogo na pengine udhaifu utakuwa mkubwa zaidi

Kama wametengeneza Mfumo dhaifu wa chama wenye kuruhusu Hadi uongozi wa juu wa kudumu
Tusitegemee tofauti
Ni kujidanganya mkuu
Tusitumia hisia kwenye mambo ya n hi mkuu
 
Chadema hawana uwezo wa kuongoza nchi Ila Kama tumeweza kuongozwa na form four failure inabidi tuwape na tukishawatoa CCM tutapambana wenyewe kwa wrnyewe
Wakiamua wanaweza kuongoza mkuu
Kwa kufanyia marekebisho Mfumo wao na wanaweza kuleta mabadiliko makubwa tu
Sema naona wameanza ukiritimba Kama ulioko NDANI ya chama kingine
Wanajenga miungu watu badala ya mifumo imara hata baadhi ya majimbo na kanda Kuna miungu watu wasiopenda challenge
So sad kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…