Pre GE2025 Nasikitika kusema mfumo wa CHADEMA bado hauna uwezo wa kupewa uongozi wa nchi, labda waufanyie marekebisho au tuwape muda zaidi miaka 10 au 15 ijayo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema wazee wa mfumo imara lakini wao wanamwamini mtu imara mbowe maana Kila siku wanaamini ni yeye tu ndo anaweza wavusha
Inasikitisha Sana mkuu
Miaka 30 ya vyama vingi tulipaswa tuwe vyama vya upinzani vyenye Mifumo imara Sana ya Ndani
 

Haina haja ya kuanza na neno ''NASIKITIKA'' maana unachoongea hapa ni kwa ajili ya kutengeneza Tanzania Imara itakayo dumu daima dawamu.
 
Chama cha mambuzi ambacho kimewahi toa rais ambaye alikuwa hajui ni kwa sababu gani Tanzania ni masikini ndiyo ina watu wenye uwezo!!??
Chama ambacho kiliamua kutumia "biashara ya utumwa" kwa kuwa hakikuwa na wanachama wanaostahili mpaka wakaamua kununua toka upinzani ndicho chama chenye watu wa kuongoza nnchi kweli!!??

CCM haina rasilimali watu timamu wenye uwezo wa kujenga hoja,kutenda na wabunifu wa kutatua changamoto za wananchi, ila inao walafi, wachumia tumbo na wasaka tonge.
 
Anzeni mwanza chama chakavu mchape form 2 Kisha njooni mtoe mfano Kwa Chadema mtasikika vinginevyo kamanda wa anga MITANO TENA 5
 
Soma kuhusu, ostracism and human herding
 
Kinawatu wanao ahirisha kufikiri,(unyumbu), herding behavior is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering, working in favor of group objectives and fear of their leaders
 
Nimesikitika kweli mkuu
Maana lengo la kuanzishwa vyama vingi miaka 30 iliyopita ni ili tuwe na vyama angalau viwili au vitatu vyenye Mifumo imara yenye kuongoza nchi

Na hii ingechangia ushindani mkali kwa Kila chama kutafakari sera Bora zaidi zenye kuleta maendeleo kwa wananchi
Haina haja ya kuanza na neno ''NASIKITIKA'' maana unachoongea hapa ni kwa ajili ya kutengeneza Tanzania Imara itakayo dumu daima dawamu.
 
Hata waliokuwa wanafaidika na Utawala wa KANU hapo Kenya walikuwa wanakuja na uchambuzi kama huuhuu.
Hata Chama cha Kamuzu Banda - MCP walikuwa na akili za lipumbavu kama za huyu mleta mada kichaa
 
Haina haja ya kutumia nguvu na matusi mkuu kwa mpinzani wako
Jenga hoja kumshinda yeye

Leo tumejikita kwenye udhaifu wa mfumo wa Cdm
Hayo mapungufu ya Ccm ni hoja nyingine inayojitegemea
 
Hata Chama cha Kamuzu Banda - MCP walikuwa na akili za lipumbavu kama za huyu mleta mada kichaa
Matusi KUTOKA vijana wa Cdm ni dalili ya kile Ninachoongelea udhaifu wamfumo wa Cdm kuzalisha vijana wenye uwezo mdogo wa kujibu hoja
Au kusoma tu mada na kuilewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…