Natabiri dunia lazima ivute pumzi muda mchache ujao ni kiama Iran

Labda nikuulize Mungu anaangalia wanaotenda mema au watenda dhambi? Maana hiyo Israel ya kwenye vitabu vitakatifu na hii ya sasa ni tofauti,hawa ni watenda dhambi wakubwa,kwanza kwao USHOGA ruksa, halafu YESU unayemjua wewe wao hawajui na siyo inchi ya kidini
Wakati Iran ushoga marufuku na ukikutwa unauwawa, na wanamjui Yesu na ni inchi ya Kidini
 
Waajemi hawatishiwi nyau, wamesomq ilmu ahera Hadi wakabobea, ukiwaua ni kama umewawahisha tu kwa wale 72
 
weka akiba ya maneno !
Hii ngoma sio ya kitoto !
Marekani na Israel wapo mezani bado wanajadiliana wafanyeje !

This is for real 😳 !
 
Utabiri wako uliowahi kutimia niule ulio muua Bensatisa tu kwa sababu ulishiriki katika mauwaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…