Utakufa wewe utamuacha Putin. Usifikiri Putin wataweza mshughulikia kama jpm.Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.
Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.
Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.
Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
In advanceHuu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.
Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.
Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.
Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Afe kiume.Katikati ya flaizi pasimame aonekane ni mwanachama wa CHAPUTA.Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.
Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.
Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.
Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Nothing is permanent but changes.Putin Hafi Wala hazeeki.
Yupo vile vile siku ZOTE.
USA 🇺🇸 hajawahi kuwa rafiki mwemaNaona US kalipua pipe ili ulaya wafr kwa baridi na uchumi uanguke maana EUR inapumulia gas na gharama zimepanda
Zuzu weweHuu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.
Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.
Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.
Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Henry Kissinger: “To be an enemy of America can be dangerous, but to be a friend is fatal.”.USA 🇺🇸 hajawahi kuwa rafiki mwema
HakukoseaHenry Kissinger: “To be an enemy of America can be dangerous, but to be a friend is fatal.”.
Word is bornHenry Kissinger: “To be an enemy of America can be dangerous, but to be a friend is fatal.”.
Sasa wewe mwenye akili timamu unamuona Putin ni kama sayari, atadumu milele?Zuzu wewe
Aisee....Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.
Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.
Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.
Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Nasubiria..Kwa hiyo Putin ni nani? Kama ni nabii hata nabii Issa alikufa kabla hajamaliza kazi ya kupeleka injili dunia yote, ndio maana akasema Enendeni ulimwenguni kote mkaihubiri injili na kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi wangu.
So utabiri niliouyoa lazima utimie
Weka kwenye Google reminder yakoNasubiria..
🤣🤣USA 🇺🇸 hajawahi kuwa rafiki mwema
Sawa mkuuWeka kwenye Google reminder yako