Natabiri Rais wa taifa kubwa huko Ulaya atapumzishwa jambo la kutisha sana


ulinzi wao sio wa kitoto, kuna mmoja wao hadi kinyesi chake kinalindwa!
utakufa wewe mkuu TumainiEl

 
Kuhusu kufa inaweza kuwa kweli ingawa ukweli hii vita Rusia atashindwa vibaya mno.
 
Haa ha ha ha; tukubaliane kwanza; hi sio UNABII ila ni utashi wako; kwa maneno mengine haya ni mawazo na mapenzi yako kwamba itimie na sio unabii.
Kumbuka, moja kati ya dalili za siku za mwisho (tena alisema Yesu mwenyewe ) "kutakua na vita na tetesi za vita, taifa litapigana na lingine" Sasa nyie mlikua mnataka WAKUPIGANA wawe Waafrica na Waarabu tu? Wazungu hapana? Mungu hawezi kwenda kinyume na unabii wake mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…