Natabiri Rais wa taifa kubwa huko Ulaya atapumzishwa jambo la kutisha sana

Natabiri Rais wa taifa kubwa huko Ulaya atapumzishwa jambo la kutisha sana

Hata kwa ibilisi joka kuu mlikuwa mnasema hivyo na mkimuita stone. Lakini Mungu alishuka ma utukufu wake ukawa manifested kwa kila mtu. Wanasema angukola mtu ni pale kiburi chake kinapozidi. Huyu Putin kwa sasa hili ndo anguko lake hachomoki.

Tayari ashapoteza majenerali wanne wa kutegemewa,jeshi limeshaanza kupungua morali,huko Urusi upinzani dhidi ya vita ni mkubwa,vikwazo vya kibiashara ndo hivyo vinazidi kubana na yeye bado anaamini atashinda vita hivi. Wataalamu wake wa kijasusi wamevujisha andiko kuwa walimshauri akakataa. Alimiscalculate nguvu ya Wakraine. Sasa ameshapagawa unaona sasa anashambulia raia badala ya majeshi. Mwisho wake umefika tu narudia hachomoki.
Huyo si jiwe
 
Mkuu mimi nakuamini baadhi ya onyo na tabiri zako.
Awamu hii naona umekuwa muhanga wa kampeni kubwa inayofanywa na taifa flani kubwa hasimu wa taifa hilo unalolitabiria kupoteza viongozi wake wakubwa.

Mungu ni wa wote.
Mungu ni wa wote[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kwahio Mungu hakujua before hand kitakachotokea ?, Kwahio hapa Analipiza au ? Na wale wanaosema kila kitu kinapangwa ? (Au hakipangwi)

Na kifo ni adhabu ?, Kama ni adhabu kwanini tunakufa regardless ?

Kwahio Mungu ukimdhiaki anakuua ukumsifia anakuongezea maisha ?

Nadhani kifo natural ambacho ni cha kila mtu ni kifo cha Uzee (vifo vingine vinasababishwa na uzembe/makosa/man made)
 
Nadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye yupo na hakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.

Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.

Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.

Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa. Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni.

Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
Wakati US wanavamia Iraq na kumnyonga Sadam huyo Mungu wako alikua likizo, Wakati Nato wanaivamia Libya na kumuua Gadafi huyo Mungu wako alikua wapi. Tokeni na ramli zenu hizo sasa ni zamu yenu kula Kichapo, na mkileta Nyoko Hiyo Ulaya na Us yenu tutaipiga kiberiti.
 
Cha pili mtu wa Kibaigwa kujua taarifa nyeti kama hizi za kiongozi mkubwa ambaye yeye mwenyewe ni jasusi mbobezi na amezungukwa na kitengo hodari cha intelijensia inanipa mashaka.
Umejuaje ni mtu wa Kibaigwa?

Unamjua? Unaijua kazi yake na unajua kwanini kayaandika haya?

Kuwa makini na watu usiowajua! Epuka ujuaji.
 
Nadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye yupo na hakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.

Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.

Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.

Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa. Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni.

Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
Amka katafute pesa.
 
Nadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye yupo na hakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.

Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.

Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.

Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa. Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni.

Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
bila shaka wewe ni MAKERUBI ,wa mungu zumalad.
 
Nachojua Mungu hana upendeleo!
Kama wale wa US wamemwaga damu sana Mungu hajawaua,basi huyo Mungu anaweza kumwondosha huyo Goliat lakini si kwa hoja hizo! George Bush alimwaga damu za Watu Iraq na Afghanistan,tena kwa uongo kuwa Saddamu ana silaha za maangamizo wakati hana! Nadhani baba yake aliyeanzisha vita 1991 ya kuivamia Iraq ameshakufa sijui Mungu aliamua kwa sababu ndiye aliyeanza kumwaga damu za wairaq,lakini mtoto wake mpaka leo yupoambaye alidanganya kuwa Sadamu ana WMD hajafa!
Niseme tu huenda umedanganywa na Mchungaji kuwa Goliat atakufa kumbe hakuna.
 
Nadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye yupo na hakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.

Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.

Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.

Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa. Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni.

Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
wakati goliati anauwawa ulikuepo? ulishuhudia? achana na upumbavu wa hizo hadithi za kufikirika
 
Nadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye yupo na hakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.

Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.

Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.

Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa. Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni.

Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
andika kwa lugha ya Kirusi na Kmarekani
 
Back
Top Bottom