Natafuta mchumba awe mke. Masharti awe na asset net worth 150m

Natafuta mchumba awe mke. Masharti awe na asset net worth 150m

Sio binti yangu couse sijampita kivile ni mdogo wangu siwezi kumzaa ila yes anataka akukute hufanyi kitu aisee .
1. Asubuhi unamwamsha mke wako nakuwaambia wafanyakazi wamuandalie breakfast.
2. Anakupa kadi ambayo unaweza kufanya shoppinga nakwenda saloon kujiweka sawa anakupa kadi ya kwenda mazoezi kuweka mwili sawa.
3. Kila baada ya miezi sita mnapima afya.
4. Mchana utakula mwenyewe ila ijioni kabla hawajapika chakula chake unamwambia anataka kula nini .
Unawaambia wapike akija unamkaribisha home anaoga basi mnakula cha ijioni halafu unatoa fulsa ya kumridhisha mnalala.
Hapendi kelele chumbani hata ya simu .
So pawe kimya .
Ukimiss kelele nenda chumba ch atv ni bullet proof basi .
Ila baada ya kumridhisha .
So ndio hivyoo hutaki tambaa .
Hii chai kunywa mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] , anyhow tu assume ni kweli so unakubaliana na standard za huyo binti halafu za jamaa unakuja na toxic replies ?? Wanawake mtaacha lini double standards?

Dunia ya sasa ni ya usawa na haki sawa kwa wote so hata wachumba mnatakiwa kuoana mkiwa stable kwa kila kitu and not the otherway around.

Nilichoona kwako ni hate and delusion kana kwamba umefikia hatua ya kuamini uongo wako tafuta maisha aisee watu wanataka wenye hela nowdays [emoji23][emoji23].

NO OFFENCE THOUGH!
 
Hizo neti wesi zenu Una uhakika zitasimama hivyo hivyo miaka yote?
 
Nmefurah kuona ukiwa na ID ya zaman unakua tajiri..
Nilinde afya yangu mie mpaka 2035 niwe bado jf niwe Tajiriii
 
nilitegemea kwamba comments zingekuwa za wadada tu, ambapo kila mmoja angetaja net worth yake na kama kuna ambao hawajafika nusu ya jamaa basi ningeona wakiomba punguzo ila naona sivyo😁
 
Huyu ana hasira na mtoa mada ndo akaja na hizi hadithi za chekechea [emoji23][emoji23]

Hasira zimekuja baada ya kugundua urembo wake ama trako lake sio kigezo cha kuolewa na wanaume wenye maisha na wajanja.

Wadada wanapenda sana kutunyonya. Wao wakitongozwa mitaani na maskini wanatukataa na kejeli kwamb sio type yao. Ila wao wanataka wanaume wenye pesa wawapende hivyo hivyo na umaskini wao
 
nilitegemea kwamba comments zingekuwa za wadada tu, ambapo kila mmoja angetaja net worth yake na kama kuna ambao hawajafika nusu ya jamaa basi ningeona wakiomba punguzo ila naona sivyo😁

Ukiona hivyo ujue Net worth hazisomi. Asset zao ni mikoba tu na viatu ambazo vikipigwa value unakuta hata milioni 1 haifiki. Wameamua walete kejeli tu
 
Madem wa bongo wangukuwa na hizo net worth mbona tz ingekuwa nchi tajiri sana mkuu, Chanzo cha umasikini Af ni ...... kama huamini chunguza
 
unataka utishie jamii na wakuwaze matajiri hawajisemi ona binti mmbichi kama yule hat forbes hajulikani
Mbona jamaa Hana utajiri wowote mkuu sema wewe umepata mental pains so ukajaribu kukwepesha hayo maumivu kwa kumfanyia justification kuwa Hana kitu ajidharau ili upate ahueni ya ubongo wako.
Naelewa namna ya ubongo unavyokwepa taarifa yoyote ambayo inauletea maumivu,kumbuka physical pains mfano umekanyaga msumari ama umeshika sufuria ya Moto jinsi mwili unavyojitoa haraka kwenye hayo maumivu so na ubongo uko ivyo ivyo mkuu. Kuna mechanisms ambazo inazitumia Kama hizo kukwepa maumivu.kwani huyo binti unayetaka umpatie unammiliki wewe.
Binafsi mie sijawahi shika milioni ili ufurahi Mana najua ukisikia Sina hel your brain itafurahi I know people like you. Ila hela yake Ni ya kawaida mno yaani mno mkuu hata ghorofa husimamishi ama hapa kapri point mwanza hapa kiwanja ama iyo hela anapata kiwanja like kariakoo ama Masaki.
Sema Ni hela nzuri kwa life la bongo yaani kwa vile wengi tupo chini.

Sasa wewe unamiliki ngapi tuanzie hapo kama kila mtu aonyeshe bank statement na id zenu ili tuhakikishe,Mana sio kwa maumivu hayo.
Hana iyo Nia ya kula demu,hapo alipoa anazila sema anawaona wanyonyaji Mana wao wanatoa k naye anatoa pen so what anaumia kunyonywa hela.


Mpatie huyo binti Basi mkuu.
 
Madem wa bongo wangukuwa na hizo net worth mbona tz ingekuwa nchi tajiri sana mkuu, Chanzo cha umasikini Af ni ...... kama huamini chunguza
Huwa wanategemea mbusss kuishi yaani anazeeka Ila bado analazimisha arudi ujanani na huku wajukuu zake na mabinti zake wako road tayari
 
Hizo neti wesi zenu Una uhakika zitasimama hivyo hivyo miaka yote?

Wao wanatubagua kwa kigezo cha pesa mitaani. Wakitongozwa Wanasema sio type yangu. Ila sisi tukiweka kigezo hicho hicho wanakasirika
 
Mashoga wa kiume ndio huwa wanatafuta wanawake wenye pesa na Assets wa kuwalea

Umeeleweka mleta mada
 
Aiseeeee JF is never boring[emoji38][emoji38]
Kila la kheri mkuu
 
Back
Top Bottom