hajasema ila kuna mtoto asiye na baba? lazima atakuwepo tu. .Ila hajasema baba wa mtoto yupo au hayupo?
NakuombeaNatafuta mwanaume ambaye atakuwa tayari kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislamu
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayari
Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
eeh si yupo tayari kuwa mke wa pili πMzeya unataka changamkia fursa
Kuna vigezo nahisi nitakwama hapo.....ila sijakata tamaa, bado naendelea kupitia pitia ili jukwaa, huenda nikabahatika.πAnaomba umuoe haraka sana
Wataisha mkuuMimi bado nipo nipo Sana mkuu
Naona umeplay kama mshenga πNatafuta mke
Mi sina mambo mengi, ninachohitaji ni mtu mwanamke ambae tutaelewana na kuoana. Sijali kabila wala dini, sijali ana kipato gani wala elimu gani. Mimi ni muislam, umri wangu ni 42 sasa, sina mtoto, nimejiajiri, nipo Mwanza. Aliye tayari aje tuyajenge.www.jamiiforums.com
lamalu mtafute π
@leleswng
lamalu Pitia hapa Mke mwenye sifa uzitakazo..kila la kheri π
Nimeona mahitaji yao yame matchπ€£πNaona umeplay kama mshenga π
Nakubali aisee. Nahitaji mshenga na Mimi πNimeona mahitaji yao yame matchπ€£π
Silimu tu kwani shida ni Nini?Hapo kwenye nina mtoto mmoja umesisitizia mara mbili. Ukipata mwanaume ambaye hapendi kiumbe cha Mungu achana nae hakufai kabisa. .
Natamani niwe na wake hata wanne. Ingekuwa vyema kanisa likahalalisha ndoa zaidi ya mke mmoja[emoji3]
Ukorofi huoπ€£π€£π€£πNakubali aisee. Nahitaji mshenga na Mimi π
wazee vp mnkwama kwny vigezo au mnatak na pic kbs..!!Natafuta mwanaume ambaye atakuwa tayari kunioa
Mimi ni mwanamke age 31
Muislamu
Naishi Dar
Nina mtoto mmoja
Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini
Nina mtoto mmoja tu
Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia
Kuolewa mke wa pili nipo tayari
Sifa za mwanaume
Age 33-45
Awe anajishughulisha
Awe serious
Mengine tutazungumza
Hvi mkuu yule mtoto ako alieletwa na yule shangazi wa vuguruni kwenu now ana miaka mingapi?Naona umeplay kama mshenga π
Plz naomba uwe mshenga wangu π πUkorofi huoπ€£π€£π€£π
Nikitaja umri, nitadisclose everything. Ila naweza sema Limekuwa kubwa sana sasa hivi, sema linajielewa.π πHvi mkuu yule mtoto ako alieletwa na yule shangazi wa vuguruni kwenu now ana miaka mingapi?
Asisahau na CD ya mazishiKaburi la baba wa mtoto lipo mkoa gani? Nafikri tukutane huko kuweka sawa mustakabali wetu
Nikitaja umri, nitadisclose everything. Ila naweza sema Limekuwa kubwa sana sasa hivi, sema linajielewa.π π
Naamini future wife popote alipo atakuwa na amani, maana wataendana nae vizuri π
Analyse Sio kwa kunishupalia ukoπ€£πPlz naomba uwe mshenga wangu π π