Mkuu hii kampeni waachie wenye nayo, wewe huiwezi. Cheki unavyochapiaKandaa ndoa ,ndao ni utapeli mkuba
Nenda hukohuko utauliziaKwa Mama kibonge au buza kanisani? π
π π πNenda hukohuko utaulizia
Kikubwa ufike pm tupate kula ubwabwaπ π π
Pm yake Ina mafuriko sasa hivi. Vijana wanashindana kutuma maombi. π π πKikubwa ufike pm tupate kula ubwabwa
wote uliowataja hapo hawana pesa za kuchezea
Siwatoi ahahahh mbonaMtoe Gily na boss wangu Half american labda hao wengine
Duh mbona ghafla sana πUkipata huyo mume niite msenge nimekaa pale.
Kwani amekwbia anataka pesa za kuchezeawote uliowataja hapo hawana pesa za kuchezea
Na we kashindane utaibuka tu mshindiPm yake Ina mafuriko sasa hivi. Vijana wanashindana kutuma maombi. π π π
Jamani jamanUkipata huyo mume niite msenge nimekaa pale.
Acha nikae pembeni, pengine kuna atakayeniona.Na we kashinane utaibuka tu mshindi
Mi nshawatoaSiwatoi ahahahh mbona
Ninyi watu wakija inbox, mnauchuna sasa sijui mnashida gani.Mwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
Ntakua mweka hazina kwenye sherehe yako nshawahiAcha nikae pembeni, pengine kuna atakayeniona.
Mambo yakiwa tight, naweka tangazo langu π
anataka mtu mwenye kipato.... hio ni lugha ya kike ukitranslate anasema anataka kumwagiwa mihela πKwani amekwbia anataka pesa za kuchezea
Ili ukimbie na hela zote, upeleke kwenye vikoba π πNtakua mweka hazina kwenye sherehe yako nshawahi