Natafuta mpenzi kuja kuwa mume baadaye

Ninyi watu wakija inbox, mnauchuna sasa sijui mnashida gani.

Nfio maana wengine huwadhihaki ni baada ya kujua, hamna watafuta wenzi ila ni ubabaishaji tu.

Anyway subr nitakuja inbox, huenda ww ni wa tofauti na wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…