MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Kazi yake ndio inafunga ndoa au?? Acha kuwa tegemezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapigwa tukio ulie machozi ya damuMwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
Umetaja vicoba kamoyo kamefanya paaa😀😀😀😀Ili ukimbie na hela zote, upeleke kwenye vikoba 😅😅
mbona wewe hujajiweka?
Dah naona hataki mwenye ndoa yake? tunabaguliwaMtoe Gily na boss wangu Half american labda hao wengine
Kama wa kwakohuu mwandiko mbona mkavu sana
Ahahah acha matusi yako najiwekaje? 😂mbona wewe hujajiweka?
mingine unapata mashaka hata ucomment kitu gani maana haieleweki🤣🤣🤣🤣Kama wa kwako
unaweka picha ya bikira Maria na dhamb zako unawaza ujinga mda wote 😀Ahahah acha matusi yako najiwekaje? 😂
Ndo maana nimemwambia akutoe ashasema hataki mume wa mtuDah naona hataki mwenye ndoa yake? tunabaguliwa
Hapo mshamba_hachekwi anahusika zaid 🤣🤣🤣Mtoe Gily na boss wangu Half american labda hao wengine
anatoa vigezo kama yuko ferry afu yeye hajaweka sifa zake ama vigezo alivyonavyo.Una sifa gani dada 😎
Umri
Elimu
Kipato
Urefu
Rangi
mkuu kipato changu kinanitupa mkono😂Hapo mshamba_hachekwi anahusika zaid 🤣🤣🤣
NakaziaMtoe Gily na boss wangu Half american labda hao wengine
ni muda wa kutulia sasa uache masihara 😂Nakazia
Hata weweHapo mshamba_hachekwi anahusika zaid 🤣🤣🤣
Nitatulia na mama mtu Leejay49ni muda wa kutulia sasa uache masihara 😂