Natafuta mtu mwenye asili ya Kihindi kumuajiri au kufanya naye biashara

Sio kweli, ni waaminifu mara 100 kuliko watanzania. Hata hao wanasiasa kwenye bishara zao kubwa wanajaza wahindi nafasi za management.

Kufanya biashara na mtanzania ni ukichaa. Yaani wizi kwenye jamii zetu unaonekana ni ujaja. Kidogo vijana wa kikinga wanajitahidi uaminifu kwenye biashara za ndugu zao.
 
Hicho ni kiswahili Cha darasa la Tano,hakuna anayekuchukia na 'mafanikio' yako,Bali kuboronga kiswahili,Tena msomi
Nani kakuambia mimi ni msomi? Alafu kuwa mwalimu wa kiswahili usijione kuwa sisi sote ni wanafunzi wako.Humu kwenye social media hayo ma Mofimu,vishazi huru na vitegemezi hatuna shida nazo tupo na rejesta zetu na tunaelewana
 
Waambie wewe mi sio mjinga kuwatenga wabongo wenzangu.Nalinda capital wabongo wanaweza kuja kuomba kazi wakiwa wana njaa wapole ila wakipata hela wanaripuka na tabia mbaya mbaya za ajabu mpaka mnafunga biashara
 
""
siwataki kwa sababu za tabia zetu za WIZI,UMALAYA,UVIVU,EXCUSES NA UJINGA UJINGA AMBAO BILA KUPATA WA KUVICONTROL HULETA HASARA KWENYE KAMPUNI""

NB.
Sio waafrika au watanzanzia wote Wana angukia kwenye hizo tabia ulizo taja japo juu

Kila lakher brother
 
Kama mtaji wa milioni 70 tu unaua biashara za wenzako ujue huko ni pori hasa na pkpk hazivuki 200 na bajaji 19!

Utazikarabati Kwa miezi mitatu ya mwanzo..... Watarudi baada ya mwaka ukiwa umefirisika.

Pkpk ni ngangari
Acha kukatisha tamaa watu.. mzee binafsi, tuna pikipiki kadhaa ambazo kila weekends tunafanya services
 
target yangu mimi ni kuua biashara za wenye viduka vidogo vidogo vya spear hapa wilayani ili nitawale soko kwa mikakati ifuatayo:
hapo kuna tatizo. Hao unataka kuwaua kuna uwezekano mkubwa ukawafanya ndio wateja wako. Usiwe mbinafsi kutaka wengine wakose.

Kuhusu Muhindi jitaarishe kulizwa bila kujua. Atkupiga pesa zako na aje afungue biashara kubwa kuliko yako kwa kutumia pesa zako hizo hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…