Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Kwenye Aya yako ya mwisho ninayo mifano kadhaa hapo kariakoohapo kuna tatizo. Hao unataka kuwaua kuna uwezekano mkubwa ukawafanya ndio wateja wako. Usiwe mbinafsi kutaka wengine wakose.
Kuhusu Muhindi jitaarishe kulizwa bila kujua. Atkupiga pesa zako na aje afungue biashara kubwa kuliko yako kwa kutumia pesa zako hizo hizo.
Una roho mbaya sana mwamba! Kwani huwezi kufanya tu biashara bila kuua biashara za wenzio? Ukienda pupa hutoboi na mtaji wako!kwa sababu target yangu mimi ni kuua biashara za wenye viduka vidogo vidogo vya spear hapa wilayani ili nitawale soko kwa mikakati ifuatayo:
Mkuu samahani wewe ni taifa gani?Wabongo hawafugiki nawaona hata huku kazini
😶Muajiriwa nafasi ya juu kuandika huwezi, kiswahili hujui
Muajiriwa ngazi za juu kidogo serikalini na si msomi!?..nyinyi ndiyo product ya memkwa!?..Nani kakuambia mimi ni msomi? Alafu kuwa mwalimu wa kiswahili usijione kuwa sisi sote ni wanafunzi wako.Humu kwenye social media hayo ma Mofimu,vishazi huru na vitegemezi hatuna shida nazo tupo na rejesta zetu na tunaelewana
1.Hiyo biashara yako nakushauri uipeleke india. Inafaa zaidi ukaishi na waaminifu wenzako. Kama uliweza kukaa na mwizi you are a man of experince, There is always a solution to every problem,Muajiriwa nafasi ya juu kuandika huwezi, kiswahili hujui
Una mawazo ya kitumwa Bado.
Wahindi walisifiwa sababu ya ELIMU ya biashara ambayo zamani haikuwepo kwetu.
Sasa Maarifa yapo na wahitimu Toka VYUO vya ndani ni wengi,
Ikiwa tatizo la wengi ni kukosa Maadili, basi Tafuta msomi aliyeokoka Kweli Kweli muweke hapo.
Pia ml 70 ni pesa ndogo sana kuwekeza kwenye biashara ya spea.
Kwa mipango uliyonayo, inahitaji milioni 200 na kuendelea, hivyo unahitaji milioni 140 ingine.
Ni hayo
Kutotoboa au kutoboa hakuwezi kuletwa na comment yako au mpango wangu kufanya biashara.Una roho mbaya sana mwamba! Kwani huwezi kufanya tu biashara bila kuua biashara za wenzio? Ukienda pupa hutoboi na mtaji wako!
Usiweke hela yako ktk biashara ,hauko tayari kuifanya. Trust me, binadamu wote ni sawa, especially wakiwa wana deal na kitu ambacho sio chao.Hiyo ukaguzi wa kila siku ndo kazi ngumu kwangu kwa sababu vifaa vya pikipiki ni vidogo vidogo na pia mimi huwa nasafiri sana nataka kumuacha mtu huku nyuma ninaemuamini ambae anaweza jisimamia
Watu weusi tatizoUna mawazo ya kitumwa Bado.
Wahindi walisifiwa sababu ya ELIMU ya biashara ambayo zamani haikuwepo kwetu.
Sasa Maarifa yapo na wahitimu Toka VYUO vya ndani ni wengi,
Ikiwa tatizo la wengi ni kukosa Maadili, basi Tafuta msomi aliyeokoka Kweli Kweli muweke hapo.
Pia ml 70 ni pesa ndogo sana kuwekeza kwenye biashara ya spea.
Kwa mipango uliyonayo, inahitaji milioni 200 na kuendelea, hivyo unahitaji milioni 140 ingine.
Ni hayo tu.
Yaani ujenge nyumba kwa gharama halafu uanze kusubiria Kodi ya laki na nusu kwa mwezi,,mpk urudishe pesa yako itakuwa miaka mingapi vile?Kwanini Wabongo wanapenda Biashara ya maduka?
Kama una uwezo wa kupata pesa ndefu kama hiyo kila mwaka;kama upo Dar es salaam wekeza kwenye ujenzi wa nyumba za kupangisha na ununuzi wa Viwanja na mashamba...
Bora nilipe double salary kuliko niajiri mwizi.Asante kwa ushauri lakini1.Hiyo biashara yako nakushauri uipeleke india. Inafaa zaidi ukaishi na waaminifu wenzako. Kama uliweza kukaa na mwizi you are a man of experince, There is always a solution to every problem,
2.Malengo yako ni ya kichoyo; kuua biashara za wengine ambazo ndio risky zao ni plan ya Ki-IDDI AMINI.
3. Ukiajiri muhindi utamlipa mara 2 au mara tatu ya mtanzania. Halafu unasema muhindi sio mwizi. Kaka uaminifu unajengwa na haimaanishi hakuna mtanzania mwaminifu. Ila kama wewe sio mwaminifu katika kazi uliyokuwa unafanya, ni wazi hata ukipata mtu mwenye degree ya uaminifu anaweza akawa sio mwaminifu kwako. Lakini cha msingi ajiri mtanzania mwenzako na ukubali changamoto zitakuwepo. Na kazi yako kubwa iwe kukabiliana na hizo changamoto.
Si kweli,Watu weusi tatizo
Wizi Hauna mahusiano yoyote na kuwa mweusi,Sio kweli, ni waaminifu mara 100 kuliko watanzania. Hata hao wanasiasa kwenye bishara zao kubwa wanajaza wahindi nafasi za management.
Kufanya biashara na mtanzania ni ukichaa. Yaani wizi kwenye jamii zetu unaonekana ni ujaja. Kidogo vijana wa kikinga wanajitahidi uaminifu kwenye biashara za ndugu zao.
kwa sababu target yangu mimi ni kuua biashara za wenye viduka vidogo vidogo vya spear hapa wilayani ili nitawale soko. Kama ndo lengo lako hutakaa ufanikiwe,biashara haiwi hivo unaroho mbaya sanaJaman mimi ni muajiriwa nafasi fulani ya juu kidogo hapa nchini. Nimeweza kupata mil 70 ambayo ni matokeo ya SAVING ya muda mrefu na hela zangu fulani nilikuwa nazidai kulipwa.
Mpango nilionao ni kuanzisha biashara ya spears za pikipiki na tri cycles (guta au Toyo). Changamoto niliyonayo ni kuwa mimi muda mkubwa wa usimamizi sina, nimewaza kumuweka wife naye kasema hawezi acha ajira yake aingie kwenye biashara ambayo hata haijui (in short wife sio mtu wa biashara).
Nikawaza nipate hata msichana mmoja wa Kichaga mwenye uwezo wa kutumia computer kwa sababu nimepanga niweke CCTV CAMERA na MFUMO WA MAUZO WA KIDIGITAL ila bado imani na hawa watu weusi sina kabisa. Nilishafungua ka biashara cha hizi simu ndogo maarufu kama viswaswadu nikaweka mtoto wa Aunt alichonifanya sina hamu hata ya kuhadithia.
Nirudi kwenye mada iliyonifanya nifungue uzi huu sasa. Nimewaza nipate Muhindi ili nimuajiri au tufanye kama partnership, i mean yeye awekeze kwenye Management mimi CAPITAL kwa sababu target yangu mimi ni kuua biashara za wenye viduka vidogo vidogo vya spear hapa wilayani ili nitawale soko kwa mikakati ifuatayo:
1. Kuteka mafundi wazuri wa injini, umeme na mechanics wazuri wenye jina kwa kuwalipa kukaa mbele ya duka langu ambalo lipo hapa city center.
2. Nimepata eneo ambalo lipo kando kando ya barabara hapa mjini ambalo kwa mbele lina uwazi mkubwa kiasi cha kuweza ku accomodate mafundi wengi mbele.
3. Kazi yangu nadeal sana na watu wa nje i mean wazungu,wachina Waindi n.k hivyo nina rafiki zangu wachina huwa wanaagiza na kufuata containers za spears huko china na wana duka la jumla KKOO hivyo wameniambia kwenye order zao wata include na yangu ili nipate kwa bei nzuri.
4. Kuuza kwa bei ya vunjabei kwa sababu mimi nitapata kwa bei ya chini sana hivyo ni rahisi kunifikia mzigo kwa bei ndogo sana.
5. Kuwa na offer kila jumamos kila ataekuja pale dukani kufanya services na maintenance atajaziwa mafuta nusu lita kama offer kila mmoja.
Anyway nimewaza ili mipango yangu iende sawa nahitaji mtu wa kusimamia alie serious ila wabongo siwataki kwa sababu za tabia zetu za WIZI, UMALAYA, UVIVU, EXCUSES NA UJINGA UJINGA AMBAO BILA KUPATA WA KUVICONTROL HULETA HASARA KWENYE KAMPUNI.
NB: Mwenye jamaa mwenye asili ya INDIA 🇮🇳 anaejielewa aje inbox please usiniletee WAPEMBA nataka Muindi nitamlipia PERMIT ili tufanye kazi ili tunyanyuke wote.