Natafuta mtu mwenye asili ya Kihindi kumuajiri au kufanya naye biashara

Wahindi ni cheap labour nilikuwa Advent mwaka 2014 na engineer wa kihindi walikuwa wanalipwa 250k kwa mwezi.
 
Labda makaburin utampata wanavyoogopa mitandaoo
 
Muhindi atakuibia akaanzishe duka au kampuni yake.
Mbongo atakuibia apate pesa ya kwenda kuhonga mademu wenye matako makubwa bar na kununua ist.
Chaguo ni lako
 
Wewe hiyo M200 unayo? Hata hiyo 70M unayo? Acha kumkatisha tamaa kijana wakati hapo ulipo mdomo unanuka kwa njaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…