Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
yuko Lloyd Munroe mbona ? kamechisha vigezo vyote hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yuko Lloyd Munroe mbona ? kamechisha vigezo vyote hapo
😄 😄 😄 hapa nilimaanisha ile ya ChanikaKwa mbiki ni sehemu ipo ndani ya uswazi ya mbagala
Ahaa okey. Kuna kwa mbiki nyingine ninayoijua mimi sio mbagala japo nako ni uswahilini tuNazani ameitaja ili kuonesha hayupo vizuri kiuchumi.
Nazani unaujua wimbo wa diamond kwetu mbagalaaa
Kwa mbiki ni sehemu ipo ndani ya uswazi ya mbagala
Mimi pia nilielewa hivi[emoji1] [emoji1] [emoji1] hapa nilimaanisha ile ya Chanika
Oa mwanetu Oa mwaka usiishe huu.😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanawake wengi wanaingia kwenye mahusiano kwa sababu za kiuchumi japo sio woteUmesema kweli kabisa
Kazii kwake km kakizi vigezo,,,yuko Lloyd Munroe mbona ? kamechisha vigezo vyote hapo
namalizia Kibanda Masantula mzee babaOa mwanetu Oa mwaka usiishe huu.
Ahaa okey. Kuna kwa mbiki nyingine ninayoijua mimi sio mbagala japo nako ni uswahilini tu
wewe je ? mbona umejitoa hapo ?Kazii kwake km kakizi vigezo,,,
Huko kwa Mwakyambiki .... Unekwishaa.namalizia Kibanda Masantula mzee baba
kadi ya mwaliko itakuhusu
nachukua mzaramo wa hukuhuku
Mm n Mzee wa kataa NDOAwewe je ? mbona umejitoa hapo ?
Ushauri mzurii sana huuSwali zuri best ulikosa mkopo maana watu wengi wakaribu wamesoma na mkopo wa serikali jaribu kuapply ukisubiria mume mwema maana wapo wala usijali mambo ya hao
Yaani wewe unatoka kwa mbiki unaenda kujenga masantula si ungeenda hata pugunamalizia Kibanda Masantula mzee baba
kadi ya mwaliko itakuhusu
nachukua mzaramo wa hukuhuku
😂 😂 😂 kwa nini mzeeUnekwishaa.
Ipo nyingine ChanikaKwa mbiki ya wapi hiyo yako ? Kwa mbiki ya mbagala Kuna wimbo wa bongo fleva wa zamani wa msanii alikuwa anaitwa bwana mkubwa unaitwa sister du unataka kuja home.
Ndio ulionesha mitaa ya mbagala kwa mbikii... uswazi balaa