Wewe umesahau ulivyofanya mapenzi kwa mara ya kwanza na ukapiga bao??Naam kuna mke wa mtu kitaa aliolewa sio bikra si kuna siku namsikia anawaambia wenzake alivyotolewa bikra na mhuni flani nikajisemea kumbe uwa hawawasahau
Kwenye hili ndonga hata msumali haupitiUmejaribu kupenyeza kwenye Yako?!
IpoKigezo cha kwanza uwe bikra
Mkuu km una bikra kweli tuhamie upande wa pili nikukague km kweli ila sitowaambia hawa vijebaKwani unanionaje?
Bikra ipo unaolewa.ama.weka dau lako Kama wewe ni bikra basi utapata mnunuaji ,Ila usije ukaweka dau ambalo baba asingemmudu mama. Unaolewa na kuwekwa ndani unahudumiwa Kila kitu ndiyo malipo yako ukiwa bikraMnazo pesa?
Wanawake wazuri hata wasio na hizo bikira wanawataka au kuwaangalia mara mbili mkiwa kwenye bodaboda au mnatembea kwa miguu?
Ipo sealed haijawahi kuguswa
Kwanini unikague sasa?Mkuu km una bikra kweli tuhamie upande wa pili nikukague km kweli ila sitowaambia hawa vijeba
Wenye sifa hizo huwakuti kwenye mtandao ya kijamii.Huku wapo walioshindikana, ukichomeka huku wanachomeka kule huku kiuno kama feniNatafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
- awe Muslim
- mweupe
- 19 to 22 years
NJOO PM TUYAJENGE EWE FUTURE WIFE
- awe amelelewa kimaadili
- awe tayari kuwa na watoto watatu
- awe kabila lolote
- awe mwembamba itapendeza
Kabisa mkuuIpo sealed haijawahi kuguswa
Mkuu ina maana mleta mada wameshamtatua kama pazia la hekalu?wewe bikra unayo?
Utajuaje kama ni bikira?Bikra ipo unaolewa.ama.weka dau lako Kama wewe ni bikra basi utapata mnunuaji ,Ila usije ukaweka dau ambalo baba asingemmudu mama. Unaolewa na kuwekwa ndani unahudumiwa Kila kitu ndiyo malipo yako ukiwa bikra
Basi tufanye uhakiki wa viwango bikra feki zimekua nyingi sanaKabisa mkuu
Hakuna waliotolewa bikira kwa kuendesha baiskeli au kutumia dildo?Katika vigezo vyote hapo kinavhowaudhi ni hicho cha BIKIRA, kwan mlilazimishwa kutolewa bikira na watu ambao hawajawaoa
Huna adabuNikuzamishie muwa wangu
Hapo sasa ndio unashangaa wananitukana bila sababu, kama wanajijua sio bikra si wake kimyaKatika vigezo vyote hapo kinavhowaudhi ni hicho cha BIKIRA, kwan mlilazimishwa kutolewa bikira na watu ambao hawajawaoa
Nimetukana wapi?Paw Cookie Moderator Mhariri naamini JamiiForums ni sehemu ya maadili na mawazo mazuri, ila nashngazwa na huyu ananitukana mzazi wangu bila kosa
Please kama vipi nikuoe nipo seriousHuna adabu