Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa

Mnazo pesa?
Wanawake wazuri hata wasio na hizo bikira wanawataka au kuwaangalia mara mbili mkiwa kwenye bodaboda au mnatembea kwa miguu?
Bikra ipo unaolewa.ama.weka dau lako Kama wewe ni bikra basi utapata mnunuaji ,Ila usije ukaweka dau ambalo baba asingemmudu mama. Unaolewa na kuwekwa ndani unahudumiwa Kila kitu ndiyo malipo yako ukiwa bikra
 
Wenye sifa hizo huwakuti kwenye mtandao ya kijamii.Huku wapo walioshindikana, ukichomeka huku wanachomeka kule huku kiuno kama feni
 
Bikra ipo unaolewa.ama.weka dau lako Kama wewe ni bikra basi utapata mnunuaji ,Ila usije ukaweka dau ambalo baba asingemmudu mama. Unaolewa na kuwekwa ndani unahudumiwa Kila kitu ndiyo malipo yako ukiwa bikra
Utajuaje kama ni bikira?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…