Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
πLazima kabisa...tako skonsi kama mawardat
Huu Uzi ajauandika yeye ameandika wifi yetu kaa mbali kabisa simu imebebwa toka jana usiku ππππ Imekuaje Leo muandiko umekua wa hasiraπ€£π€£π€£π€£ kuna namna
Njoo na hati ya nyumba kabisa ukikimbia basi nabaki na hatiMale 42, natafuta mwanamke wakuzaa nae japo na mie niitwe baba.
Huduma zote kuanzia mimba inapoingia mpaka kujifungua na malezi ya mtoto na mama yote juu yangu.
Mwanamke awe tayari kushika mimba kabla ya mwaka huu kuisha.
Hati ya nyumba sina ila nitakukabisdhi bodaboda mbili ili ziwe zinakupatia hela za matunzo ya mtotoNjoo na hati ya nyumba kabisa ukikimbia basi nabaki na hati
Boda boda kabisaHati ya nyumba sina ila nitakukabisdhi bodaboda mbili ili ziwe zinakupatia hela za matunzo ya mtoto
Ndio nakupatia mbili kwa jina lakoBoda boda kabisa
πππIla jamaniNdio nakupatia mbili kwa jina lako
Umeona mwanawane muhimu kuwa na mtotoIla kweli kukaa na mwanamke ni kipengele, na ukifilisika anakimbia,
Mtoto ndo kila kitu
Sema mkuu...nipo bwana nataka kupata katoto ila pm mpaka sasa hamna kituπππππAisee,mzee wa mbususu
vuta subra akina Demi wako bize kutengeneza ID nyingine wakuzamie peeemupm mpaka sasa hamna kitu
Wa huku wanajifanyaga classic jaribu fb naamin utawakimbia ila ingependeza kama ungeweka na kamshahara hata elfu 60 kwa kila mwezi kwa muda wote wa uzazi na uleziSema mkuu...nipo bwana nataka kupata katoto ila pm mpaka sasa hamna kituπππππ
Mwanamke atapata bodaboda mbili kwa jina lake. Hizo zitamsaidia katika kuendesha maisha ya umamaWa huku wanajifanyaga classic jaribu fb naamin utawakimbia ila ingependeza kama ungeweka na kamshahara hata elfu 60 kwa kila mwezi kwa muda wote wa uzazi na ulezi
Kama ni hivyo basi ni vizur,ila nenda fbMwanamke atapata bodaboda mbili kwa jina lake. Hizo zitamsaidia katika kuendesha maisha ya umama
Eeeh ccy
Huu Uzi ajauandika yeye ameandika wifi yetu kaa mbali kabisa simu imebebwa toka jana usiku ππππ Imekuaje Leo muandiko umekua wa hasiraπ€£π€£π€£π€£ kuna namna
Kabisa yaanπ€£Eeeh ccy
Huu Uzi ajauandika yeye ameandika wifi yetu kaa mbali kabisa simu imebebwa toka jana usiku ππππ Imekuaje Leo muandiko umekua wa hasiraπ€£π€£π€£π€£ kuna namna