Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu mchicha "mwiba".Kwa maana huo unataka kusema wew umedoda?
Muhimu kuweka vigezo nadhaniSisi ni watanzania tusibaguane kwa umri ,kazi
Ni kweli kabisaHahah umenikumbusha hii pic mkuuView attachment 1171674
ahsante kwa ushauri33 iyo miaka hupati ata mmoja
Nadhani si kitu kibaya kuweza kuwa na shughuli halali ya kujikimu. ni hivyo tu, aweze kujikimu yeye kama yeyeLazima awe na kipato, kwani urafiki na kipato vinahusiana vipi?
Thank youAll the best, be extra careful
Sawa kiongozi nitazingatia ushauri wako pia33 hutopata....umri huo tayari wanamilikiwa na wanashikiliwa haswa....na ukimpata ni mzigo.
Kwa sasa jichukulie under 28 au 50+....hapo utapata..
Muhimu kuweka vigezo nadhani
Unatafuta rafiki mwenye shughuli ya kuingiza kipato halali ?Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 33. natafuta rafiki wa kiume wa umri wa kuanzia miaka 33 na kuendelea tukiridhiana twaweza kuwa wapenzi au kuweza kupata mtoto/watoto pamoja.
Asiwe na familia nikimaanisha mke, awe mcha Mungu, mchapakazi na awe na shughuli halali ya kumuingizia kipato. aliye tayari basi tuwasiliane