The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Tsh 80 to 90 mill unatoboa,hii ni kama unataka nyumba ijengwe Dar ikiwa nje ya Dar kuna mikoa ujenzi ni rahisi inaweza ikashuka kidogo.Thanks, I get it now the budget can really go that high. Lakini kwa sasa nataka tu estimate za kawaida quality nzuri ila sio hayo masinki ya mil 5.
Tunatishana sana,ndiyo ujenzi ni gharama but nyumba ya chini haiwezi kula more than 120Mill hapo tena umeongeza makorokoro ambayo sometimes utaweza usiyatumie.