Kazi kwenu wenye kusaka watoto.Kama watoto wataishi kwenye nyumba ya milele sawa 😂
Mie nipo hiv + watoto naleta wa nini?
Mie nikula mbususu tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kwenu wenye kusaka watoto.Kama watoto wataishi kwenye nyumba ya milele sawa 😂
Kenchi na bati milioni 12View attachment 3190361
Nyumba ya 5 bedrooms
Master kubwa 1
Self 3
Single 1
Sitting room, dining & kitchen
Study room
Laundry
Public toilet
Store
Je kila kitu mpaka inayooneka hapa maybe na finishing ya vitu kama masinki nk.
Inaweza gharimu kiasi gani?
1. Single iwe pia na choo na bafu linaloweza kutumiwa na public.
2. Umesahau store na garage
Amandla...
Personally garage ningeweka separate (siunganishi na nyumba) kwa sababu tatu
- Kupunguza emissions ndani ya nyumba
- Incase kuna moto gari linaweza kuwa moja ya vichocheo
- Nyumba ikishika moto (siombei) napoteza properties mbili at a time
Zipo nzuri nyingi mtandaoni, ila ukitaka ya kisasa tafuta uzi humu wa garage ya Lugumi yenyewe ina mpaka ACWakuu, hivi designs nzuri za kisasa for garage, ni zipi?
Sasa kujenga hako ka jumba chako ndio umekuwa mkadiriaji majengo kweli?🤣Sawa mie muongo
Ah wee ndio najua sii nilishaona bidhaa zinaendajeSasa kujenga hako ka jumba chako ndio umekuwa mkadiriaji majengo kweli?🤣
😳😳Vyoo vya million mbili, chandeliers za 1.5mil ac kila chumba
Bathtub atleast vyumba vitatu
Standby generator au alternative solar power system.
Upvc windows
Wooden french doors
Tiles za minimum 50k per sqm
Bafu moja tuu unacheza betwenn 5-7mil. Wee hapo una mabafu manne
ngiyamtandaView attachment 3190361
Nyumba ya 5 bedrooms
Master kubwa 1
Self 3
Single 1
Sitting room, dining & kitchen
Study room
Laundry
Public toilet
Store
Je kila kitu mpaka inayooneka hapa maybe na finishing ya vitu kama masinki nk.
Inaweza gharimu kiasi gani?
Hamna atakaye kupa majibu ya ukweli hapa, pia Acha kukurupka hiyo nitaaluma yenye procedure za BoqView attachment 3190361
Nyumba ya 5 bedrooms
Master kubwa 1
Self 3
Single 1
Sitting room, dining & kitchen
Study room
Laundry
Public toilet
Store
Je kila kitu mpaka inayooneka hapa maybe na finishing ya vitu kama masinki nk.
Inaweza gharimu kiasi gani?
Hiyo HIV+ ni kweli au ndio maneno ya juu ya keyboard?Kazi kwenu wenye kusaka watoto.
Mie nipo hiv + watoto naleta wa nini?
Mie nikula mbususu tuu
Hiyo nyumba bila kujali uko wapi hapa Tz milion 60 haiwezi kutosha kwa hiyo nyumba.Haiwezi kuzidi mil 60, ila ukijibana ni mill 50 bila fence. Hiyo pmj na makorokoro yote AC, makabati jikoni, tiles za granite.
View attachment 3190361
Nyumba ya 5 bedrooms
Master kubwa 1
Self 3
Single 1
Sitting room, dining & kitchen
Study room
Laundry
Public toilet
Store
Je kila kitu mpaka inayooneka hapa maybe na finishing ya vitu kama masinki nk.
Inaweza gharimu kiasi gani?
5 br house ni kubwa sana na utakuwa unakaribisha wageni all the time. Je ni kweli unahitaji vyumba vyote hivyo? Fikiria kwa umakini sana. Na je unahitaji ma'self' yote hayo?Nyumba ya 5 bedrooms
Master kubwa 1
Self 3
Single 1
Sitting room, dining & kitchen
Study room
Laundry
Public toilet
Store
Je kila kitu mpaka inayooneka hapa maybe na finishing ya vitu kama masinki nk.
Inaweza gharimu kiasi gani?
Duh hapa utamwingiza chaka hiyo nyumba ni kubwa haipungui m 100 hapoHaiwezi kuzidi mil 60, ila ukijibana ni mill 50 bila fence. Hiyo pmj na makorokoro yote AC, makabati jikoni, tiles za granite.
hakika! sisi tulijenga 5 br house na watoto wote wameshakimbia sasa tumebaki wawili na mfanyakazi tu. Mjumba umekuwa mkubwa uko kimyaaa!Mbona vyumba vingi? Watoto huwa wanapita tu nao watakua na nyumba zao,siku mkubaki wawili tu humu uzeeni utaelewa ninachokuambia...
inategemea na eneo ulilopo kwa kias kikubwa sana..... Makadilio kuanzia 45M kwenda mbele kwani waishi wapi weyeView attachment 3190361
Nyumba ya 5 bedrooms
Master kubwa 1
Self 3
Single 1
Sitting room, dining & kitchen
Study room
Laundry
Public toilet
Store
Je kila kitu mpaka inayooneka hapa maybe na finishing ya vitu kama masinki nk.
Inaweza gharimu kiasi gani?