Nataka hii iwe nyumba ya ndoto yangu. Nani anaweza nisaidia makadirio?

What does the classic finishing include?
Mim nimejeng kam hio ila nd nimeipiga plasta nje na ndani nimefany blandering tayr, nimepiga zege chini ila sio vyumba vinne yang ni ya 3, na raman naon mama zinaendan nahii,
 
Kiukweli sina vipimo vya kitaalam hii nyumba nimeiona kwenye Instagram hata nimesahau page yao nikasema moyoni nitajenga niishi hapa na watoto zangu. So nilikuwa nataka estimate za jumla jumla.
Ukiijenga moshi itafika 150m
 
Mkumbuke na ndugu zenu wasiomiliki hata mlo wa siku haya majumba tunawacha hapa hapa tusikufuru Sanaa tengenezq nyumba ya kawaida tu hela saidia wengn wasiokua kesho yao
 
Mkumbuke na ndugu zenu wasiomiliki hata mlo wa siku haya majumba tunawacha hapa hapa tusikufuru Sanaa tengenezq nyumba ya kawaida tu hela saidia wengn wasiokua kesho yao
Tatizo binadamu unataka kumsaidia yeye anatake advantage. Wacha kila mtu apamba e kivyake
 
Mim nimejeng kam hio ila nd nimeipiga plasta nje na ndani nimefany blandering tayr, nimepiga zege chini ila sio vyumba vinne yang ni ya 3, na raman naon mama zinaendan nahii,
Ulitumia sh ngapi?
 
Zipo nzuri nyingi mtandaoni, ila ukitaka ya kisasa tafuta uzi humu wa garage ya Lugumi yenyewe ina mpaka AC
Kwa hiyo gari nalo likipata joyo linakula kiyoyozi 🤣🤣🤣🤣
Kweli ukiwa na hela unaenjoy sana
 
Hakuna nyumba ya 150 hapo,au wewe ni fundi unajipigia upatu?
Wee bwana nyumba ya vyumba vitano mchezo. Labda kama anajenga vyumba vyote 3m x 3m

Tena vyumba vyenyewe self countained. Hatari mzeya.
Nyumba kubwa sana hiyo
 
Sasa kujenga hako ka jumba chako ndio umekuwa mkadiriaji majengo kweli?🤣
Sasa sii nina experience mzeya.
Nyie huyo kasema nyumba vyumba vitano, master moja self coiintained 3 na kimoja cha kawaida.
Bado ana sitting dinning kitchen na study room. Hii nyumba ni kubwa sana sio kitoto
 
Wee bwana nyumba ya vyumba vitano mchezo. Labda kama anajenga vyumba vyote 3m x 3m

Tena vyumba vyenyewe self countained. Hatari mzeya.
Nyumba kubwa sana hiyo
Wengi wanadanganywa sana gharama za nyumba na hawa wanaojiita mafundi,lakini uhalisia nyumba sio jambo la kutisha kama ilivyo
 
Wengi wanadanganywa sana gharama za nyumba na hawa wanaojiita mafundi,lakini uhalisia nyumba sio jambo la kutisha kama ilivyo
Hamna anayemtisha mtu bwana wewe hapa.
Wee hiyo nyumba ni kubwa sana. Vyumba vitano jumlisha study room sio kitoto. Vyumba tuu kwa haraka haraka tayari tofali 2500. Bado sebule sijui dinning mara jiko.

Ujenzi sio lelemama bwana kama hujajipanga.
 
Hamna anayemtisha mtu bwana wewe hapa.
Wee hiyo nyumba ni kubwa sana. Vyumba vitano jumlisha study room sio kitoto. Vyumba tuu kwa haraka haraka tayari tofali 2500. Bado sebule sijui dinning mara jiko.

Ujenzi sio lelemama bwana kama hujajipanga.
Umewahi kujenga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…