Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Huna mazao wewe acha kujidanganya watu siuseme ukweli tu hela unapatiaga wapi??Tunaruhusiwa mpaka wa nne, ila kutokana na idadi yao kuwa kubwa, itabidi niende hata 20 baada ya kuvuna mazao yangu shambani.
Acha uharibifu wewe mtu kweli acha roho mbaya sio nzuri mbona wewe hadi Leo hatujui jinsia Yako unabadilika kutokana na post unazotoa30+ ukimuoa ujue unachukua nazi mbovu, kwasabb wenzako wameiacha tangu (akiwa 15 mpk sasa ana 30) ujue kuna kitu hakiko sawa.
π€π€π€Basi huyu ana pepo la kuoaoaSio wa nne wewe ni mazulia elfu Moja huyu ni kama sulemani wake anaowakutosha
Nimetoa maoni yangu tu Unique Flower , na maoni yangunyasichukuliwe kama sheriaAcha uharibifu wewe mtu kweli acha roho mbaya sio nzuri mbona wewe hadi Leo hatujui jinsia Yako unabadilika kutokana na post unazotoa
Hunitakii mema mrembo πππSio wa nne wewe ni mazulia elfu Moja huyu ni kama sulemani wake anaowakutosha
Hapo kuna tatizo, bora utulie kwangu tu!πHapana Jack,mdau wa karibu yake kabisa katunyetisha hiyo idadi ya 4 keshavuka Sasa anaongeza masuria....huoni Kuna tatizo?
Nisipovuna mazao nitauza nyumba ya urithiHuna mazao wewe acha kujidanganya watu siuseme ukweli tu hela unapatiaga wapi??
Niseme au niache wewe hunidanganyi bwana
Hataki niwaoe warembo wazuri kama nyieπ€π€π€Basi huyu ana pepo la kuoaoa
Hilo halina pingamizi,nitakaa kwa kutulia kabisaa kwako...Hapo kuna tatizo, bora utulie kwangu tu!π
Anajua uharibifu wakoπ€£π€£π€£π€£Hataki niwaoe warembo wazuri kama nyie
Mkuu Equation x najipatia mke kupitia uzi wako!πHilo halina pingamizi,nitakaa kwa kutulia kabisaa kwako...
ππHujui jinsi gani nau...
Ila basi.
Nakupa pongezi, siku ya harusi mtupe kadiMkuu Equation x najipatia mke kupitia uzi wako!π
Hivi uko serious maana nitakuwa serious muulize swali unamjua unique flower yes ananijua kupitia humu ila mie nilikuwa nanamba yake tulikuwa tufanye biashara Fulani Sasa nikacheki maisha yake kupitia Facebook basi nikaja kumjua aha kumbe huyu ndio huyu anamke Tena mke ni wahalali sio wa kuzaa naye tu napia nilimuuliza akajibu ndio yeye mke analia kisa mume hajatulia Kisa pesa zake .Hapana Jack,mdau wa karibu yake kabisa katunyetisha hiyo idadi ya 4 keshavuka Sasa anaongeza masuria....huoni Kuna tatizo?
Siamini nimepata mrembo Joannah ππ₯π₯Nakupa pongezi, siku ya harusi mtupe kadi
Arurururuuuuuuh walisema hataoa mbona anakaribia kuoa.π€¨Habari wakuu,
Kuna mlimbwende mmoja humu amenivutia sana, nataka msimu ujao wa mavuno, niweze kutangaza ndoa kabisa.
Huyu mrembo ameiteka sana akili yangu, mpaka uwezo wa kufikiri umepungua; nilipo pishana naye tu barabarani, ilikuwa kidogo tu nigongwe na bajaji.
Kupitia huu uzi, anatakiwa ajitambue yeye tayari ni mke mtarajiwa wa equation x, na ajiandae kwa mipangilio ya familia ya kuwa na watoto wengi hapo baadaye.
Najua atapitia huu uzi, jina lake linaishia na h.
Wakuu nipeni baraka zenu.
Safari moja huanzisha nyingine π»π»π»π»Mkuu Equation x najipatia mke kupitia uzi wako!π