Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 1,479
- 3,229
allah akutangulie wasichokijua ni kuwa mpka kufika hiyo idadi hao kuku watakuwa wanajihudumia wenyewe.Nimefikisha kuku 2000 mpaka sasa. Japo nilipata changamoto hapo kati, ila safari ndo imeiva hivi sasa. Nimetenga tray 10 kila siku za kuhudumia kuku wote. Mpaka ndoto yangu itimie.
Karibu tule vijogoo vya kuchoma na mayai ya kuchemsha kwa mama mkuu
Mashine ya kusaga haiwezi kulisha hao kuku nafahamu. Ila hatua nilifikia saizi, nina soko la mayai kila siku tray 10 sawa na sh 120, 000umempa ukweli mchungu kulisha kuku laki1 kisa kuna mashine ya kukoboa karibu kijana analeta masikhara uyu
upo wapi mkuu nije kupata shamba darasaMashine ya kusaga haiwezi kulisha hao kuku nafahamu. Ila hatua nilifikia saizi, nina soko la mayai kila siku tray 10 sawa na sh 120, 000
Nayaona matumaini japo sehemu ya kufugia inaelekea ukingoni. Hesabu niliyonayo ni kuuza uzao wa kuku 1500 yaani kila baada ya miezi 4 natoa kuku 12, 000 sawa na mil 150.
Biashara inaanza mwaka huu mwishoni
hongera sanaMashine ya kusaga haiwezi kulisha hao kuku nafahamu. Ila hatua nilifikia saizi, nina soko la mayai kila siku tray 10 sawa na sh 120, 000
Nayaona matumaini japo sehemu ya kufugia inaelekea ukingoni. Hesabu niliyonayo ni kuuza uzao wa kuku 1500 yaani kila baada ya miezi 4 natoa kuku 12, 000 sawa na mil 150.
Biashara inaanza mwaka huu mwishoni
Mimi siamini kwenye kufeli huwa naamini kwenye kujifunza. Pia nafahamu kuwa kila kitu hakipo kwaajili ya kila mtu. Nilikua na malengo ya kufikisha kuku laki moja lakini nimeamua kuishia kwenye kuku 2000.Endelea kujifurahisha na kufurahisha wengine, ila kiuhalisia ni kwamba Huwezi kuwa na kuku laki moja
Unawajua kuku laki 1 au unawaskia tu? Hiyo mashine unayosema ipo ya kusaga haina uwezo wa kuhudumia kuku laki 1 Kwa siku
Ni vizuri kama umeamua kukimbia Dar na kurudisha mpira Kwa goal kipa ila kama ndo umerudi na mawazo hayo basi muda sio mrefu utarudi Dar pamoja na kuku wa Mama
Kuanza na kuku 15 saizi unawaza kuwa na kuku laki 1, unadhani wafugaji wenzio walio kwenye tasnia kabla yako hawajui hayo madawa na chanjo?
Huwajui kuku vizuri wewe, Kwa sasa we furahia tu hao vifaranga 70 Kwa sababu wapo ndani ya uwezo wako na ata wafike 500 still wanaweza wakawa ndani ya uwezo wako
ila ukitaka kujua kuwa inawezekana unawaza ukiwa umeshiba sana au Una njaa sana basi Piga hesabu ya gharama ya kulisha kuku 5000 tu ndio utajua kuwa unaota ndoto ukiwa ndani ya Maji
Anyway, All the best mkuu
Soko ni kubwa sana la kuku wa kienyeji. Kinachofanya lisionekane, ni uhaba wa wafugaji wa kuku hawa. Ila wanatafutwa sanaNamaanisha kibiashara. Kuku wa kienyeji anatumia miezi sita kuwa mkubwa wa kulika wakati chotara anatumia miezi mitatu hadi minne. Kibiashara ilo gape la muda lina maana kubwa sana.
Kuku wa kienyeji ukiwafuga kibiashara (sio free range) wana gharama sana halafu soko lake ni gumu kutokana na bei ambayo inajumuisha gharama za kuwatunza
Kuku wa mayai wana faida sana ila unapaswa kuwa na mtaji wa kutosha kuwalisha miezi sita kabla hawajaanza kutaga
Wanyama wana mzunguko mzuri kwa wawekezaji wanaotaka faida ya haraka maana wakifika kuanzia wiki nne wanakuwa tayari kuuzwa ingawa faida yao si kubwa sana
Kwa ushauri wangu kama mdau wa sekta hii kufuga kuku laki moja wa kienyeji sio jambo zuri unless uwe na soko zuri la kimkataba kabisa. Ngumu sana kukuta watu wanaonunua kuku kwa wingi kama wale wa mikutano au harusi kutumia kuku wa kienyeji. Wa nyama wanamzunguko mkubwa sana na ni nafuu. Kienyeji tunakula kwenye matukio muhimu tu
Ulichokisema ni kweli kabisa. Hatua niliyofikia saizi, kwakweli nafurahi mwenyewe. Maana sioni mlima wa kuwalisha. Nauza mayai yao wenyewe maana soko ni zuri alafu nanunua mahitaji. Nakua busy sana maana kila kitu nafanya mwenyewe.The failure is the success
Lengo lake ni kufikisha kuku 100,000
Let say ndani miaka 3 amefikisha kuku 1,000 au 10,000 kwa kutumia hikohiko kidogo alichoanza nacho
Sawa anaweza kuwa amefeli kufikia lengo lake lakini maisha yake hayatakuwa sawa na jinsi yalivyo Sasa
Kila la kheri ndugu, utekelezaji mwema
Usisahau kuleta mrejesho.
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Mdondo sio tishio tena kwangu maana nina dawa ya kutibu kabisa. Hata ndui haifui dafu. Nimejifunza mengi kwa muda mchache sana nilioishi na kukuSimamia kwenye chanjo kuna ugonjwa unaitwa mdondo huo ukipita bandani kama kuku wako hawajachanjwa wanapukutisha banda nzima.
Raha ya hawa kuku wa kienyeji hawako complicated sana kuanzia kula, na nature yao kwa ujumla. Inanipa urahisi maana hata dawaza magonjwa hatarishi, hivi sasa nazifahamuNakutakia kila lakheri katika ufugaji ila anza nao taratibu ujue mbivu na mbichi za hiyo biashara. Mimi ni mfugaji wa kuku wa nyama na mayai. Nionavyo mie kwenye mazao ya ufugaji kuku, wenye faida sana ni kuku wa mayai wanafuatia broiler lisha hawa kuku chotora kisha wa mwisho wa kienyeji
Nimefikisha kuku 2000. Je ni leo sio leo? Acha nikufungue kidogo tu mkuu. Ukitaka kubadilisha maisha yako, anza kuota ndoto kubwa kubwa. Hata kama hutazifikia, lakini kuna hatua utakua umepigaIla ndyo ukweli kuku 15 kufika 1000 cio leo na sio kimahesabu ya kichwa tu
mikipata wasaa nitakuja kusalimia mama mdg huko ntakuweka kwenye ratibaKaribu sana nipo Mbeya mkuu
Hongera sana mkuu, wewe ni mfano wa kuigwa, uliamua kusimamia ndoto zako pamoja na changamoto ulizopata humu kutoka kwetu sie wachangiajiMimi siamini kwenye kufeli huwa naamini kwenye kujifunza. Pia nafahamu kuwa kila kitu hakipo kwaajili ya kila mtu. Nilikua na malengo ya kufikisha kuku laki moja lakini nimeamua kuishia kwenye kuku 2000.
Pia huwa siogopi kuzifuata ndoto kubwa. Kadri ninavyozidi kusogea na mradi wangu, ndivyo ninavyozidi kuyaelewa mengi sana kuhusu ufugaji wa kuku wa kienyeji.
Nilipofikia sasa, mdondo sio ugonjwa wa kutisha kwangu maana nina tiba kabisa