Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Ndio changamoto za sekta binafsiIssue hapo itakuwa amekuwa na mshahara mkubwa, kinachofanyika ni kumtafutia kosa hata liwe dogo ili wamfukize kazi, waajiri kijana mdogo mwenye mshahara mdogo!! Inauma sana