stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Namjua huyo unaetaka kumfukuza na yeye anajua kua unataka kumfukuza kwa hio ongea vizuri na hao maboss waelekeze vizuri,Habari wana JF, Mimi ni HR wa kampuni fulani kwa miaka 2 sasa. Nimepewa order na maboss zangu kumfukuza mfanyakazi ambae amefanya kazi kwenye kampuni hii kwa miaka 17. Amefanya kosa ambalo ni la kusamehewa tu ukiangalia na muda aliojitoa kwenye kampuni hii.
Bado hajui chochote na kwangu imekua ngumu kumwambia, NIFANYEJE wadau?