Chizi anamjibu chiziKama Wewe ni TISS Agent kweli basi ulikuwa wrong recruited huko Idarani Kwani ukipitia tu hiki Ulichokiandika hapa utagundua hauna Akili na kama huna Akili pia huwezi kuwa Analytical kwa Hoja zako halafu huna Maadili ya Kiapo chako.
Na kwa Saikolojia yangu Kali na iliyotukuka nimegundua pia kuwa you might be suffering from a Maniac Bipolar hivyo nashauri wahi Milembe Mental Hospital Dodoma au Lutindi Mental Hospital Tanga ukaanze Tiba yako ya awali kabla haijawa Hatari zaidi.
Sema huyu tapeli ni very strategically kwenye huo Uzi kaweka namba alafu huu kafunua ID yake (kuwa yeye ni tiss) kuelekea kipindi hichi ambacho majeshi yanatoa nafasi za ajira.....atawapata wengi watafuta connectionNusu niangushe gari kwenye mtaro ni huyu huyu
Jamaa mmoja alisema, ukiwa muongo, hakikisha unakuwa na kumbukumbuSema huyu tapeli ni very strategically kwenye huo Uzi kaweka namba alafu huu kafunua ID yake (kuwa yeye ni tiss) kuelekea kipindi hichi ambacho majeshi yanatoa nafasi za ajira.....atawapata wengi watafuta connection
Hapo unapoandikia hata kama unatumia simu na line ya MTU mwingine au vyovyote vile wanakuja kukudaka hapohapo na kukunyamazisha kabisa. Kifupi wewe siyo Usalama wa Taifa maana ingekuwa ndiye wala usingekuja kuandika hapa maana mpaka sasa wameshakujua kuwa ni wewe. No such risk, no such stupidity in central intelligence.Unjani sabuwona.
Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.
Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.
Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.
Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.
Nawasilisha
Aaahhh wapi. Watu wa mission eana hela chafu kabisa. No audit!!!TISS hawanaga hela, labda uwe PSU au RSO, DSO
kama ulipewa jukumu la kumlawiti mtu kisa tu hakubaliani na siasa za ccm, halafu na wewe ukajikuta unatamani kulawitiwa, lazima utataka kuacha kazi hiyo.Unjani sabuwona.
Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.
Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.
Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.
Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.
Nawasilisha
Soon atapandisha uzi kuwa Ana connection za kaziSema huyu tapeli ni very strategically kwenye huo Uzi kaweka namba alafu huu kafunua ID yake (kuwa yeye ni tiss) kuelekea kipindi hichi ambacho majeshi yanatoa nafasi za ajira.....atawapata wengi watafuta connection
nna jamaa yangu alikuwa kwenye jeshi (sijataja jeshi gani) badae akaanza tambo kama zako kuwa kaacha jeshini kaingia usalama
kila siku wimbo wake ukawa huo, mara aniambie mzee flani ni usalama yaani stori zake ni kuhusu usalama basi mie sijawahi kuwa interested
majuzi kati akawa na shida na 100k nikamjibu tiss wa wapi huna koneksheni ya kupata 100k. mimi siba hela
ikabidi afunguke anatafuta 500k akahonge apate kazi flani serikalini hivyo nimsaidie bado nikagoma wewe (yeye ) ni TISS na amewahi nambia ivo kwa nini ahangaike badala ya ofisi kumfanyia wepesi
aliikosa ile kazi, badae nikamwambia kilicho mponza ni kujifanya TISS badala ya kusema ukweli asaidiwe
akafunguka alifukuzwa kwenye hilo jeshi mapema mwaka huu ko anatafuta namna kuingia serikalini
acheni kuigiza mko TISS wakati uwezo wenu wa akili unawashtaki
Dah,mtu ambae yuko TISS anakuwa yuko njema sana kilankitu ??!!!Yani huu ndo uandishi wa mtu wa Tiss? Rubish kabisa!
hiyonndiyo ilivyoHiyo kazi faida yake kwamba utapata pesa za mtelezo ,bia na mbususu za bure ila roho mkononi mwili kwenye mtaro.
We ni psychopath mkubwa? Mimi mbona ninayo maendeleo? Hao vijana wenzako wakiniiga mmepoteaNaona unaendeleza gurudumu la kuchangamsha genge.
Kwa vijana kama huyu Tanzania inamiaka 300 kupata maendeleo.
Naona hizi dawa umezizoea sana kwa sababu we unatumia sana I seee! Psychopath weNenda famasi kubwa inayoeleweka.Ukisahau hilo jina waambie ni phluphenazine deconoates!
We mkamatishe huyo jobless mwenzako kwa kumchoresha tuDogo Ayubu Chengula acha bangi, humu ni jf siyo facebook utaliwa kichwa sasa hiviii, nyuzi za jf zinapitiwa na hao TISS daily na kuna special daily breafing ya nyuzi za humu zenye ziko high profiled.
Sasa wewe jitie hamnazo utajuta.
View attachment 2429143
Kwahiyo we utaishi milele kwa huu ushoga wako?