Natamani kuacha kazi ya usalama wa Taifa(TISS)

Status
Not open for further replies.

This thisi TISS
 
Yani huu ndo uandishi wa mtu wa Tiss? Rubish kabisa!
Wapo wengine ni weupe kabisa kichwani. Niliwahi kukutana nao kama watatu hivi. Yaani nilibaki nimeduwaa kwa utendaji mbovu namna ile. Hata mimi "layman" nilijiona nina akili kubwa kuliko yale maboya niliyokutana nayo.
 
Hata Snowden alitema nyongo baada ya kuona Kuna mambo hayako sawa tuacheni unafki
Wabongo sijuinwakoje yan....badala ya kumsifu mtoa mada yanamgeuka tena...inamaana yanapenda kuendelea kutekwa na kuuliwa kwa kuipinga CCM??
Kwa aina hii ya watanzania CCM itakuwepo mpaka mwaka 3700
 
Wapo wengine ni weupe kabisa kichwani. Niliwahi kukutana nao kama watatu hivi. Yaani nilibaki nimeduwaa kwa utendaji mbovu namna ile. Hata mimi "layman" nilijiona nina akili kubwa kuliko yale maboya niliyokutana nayo.
We ni mweusi kichwani kuzidi your mother's womb?
 
Wabongo sijuinwakoje yan....badala ya kumsifu mtoa mada yanamgeuka tena...inamaana yanapenda kuendelea kutekwa na kuuliwa kwa kuipinga CCM??
Kwa aina hii ya watanzania CCM itakuwepo mpaka mwaka 3700
Hivi kuna watu wachawi kuwazidi waTanzania? Magreater thinkers wanyoko
 
Labda Tiss ya Nyokoo Siyo Tiss hii Usalama wa Taifa. Ni job fulani hivi Amazing yaani full confidence Good life Matarajio kibao Kama fitina zipo kila Idara . Halafu unajua hakuna Afisa wa Tiss anakialia Mitandaoni. Hivi unaelewa maana ya watu wa System au unaropoka tu. Mimi huwa muda wote nawapongeza tu .
 
Ume bleed leo?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…