Natamani kuifanya familia yangu kuwa kama ya Bakhresa na ya akina Mo Dewji, nipeni muongozo

Natamani kuifanya familia yangu kuwa kama ya Bakhresa na ya akina Mo Dewji, nipeni muongozo

Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna.

Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla.

Wakuu, kwa heshima na taadhima naomba mnipe muongozo na mawazo kipi nifanye ili kufikia malengo yangu ya kufaifanya familia iwe kama ya Bakhresa.

Natanguliza shukrani.
Unaowaomba mwongozo nao wanatamani waishi kama hao unaowataja
 
Ushauri wako ni mzuri sana mkuu ila ningeomba unifafanulie kitu kimoja hapo

Umesema hata hao akina mo hawapo wote, je ni kuwa wamegawanyika kiuwekezaji? Kama ndio wamegawanyikaje

Maana nilikuwa naelewa kuwa Mo anaendesha biashara za familia kama msimamizi mkuu aliedhinishwa na familia japo nae ana utajiri wake lakini utajiri wa familia ndio uliomtambulisha hebu niweke sawa mkuu
Baada ya babake kuiaga yeye ndo alipewa u succsssor. Yeye ndo msimamizi wa biashara zote ila on the ground kuna dadake Fatma ypo kwenye kiwanda cha bevarage ndo kazi yke kusimamia n kufanya marketting upande huo. Kuna kaka mwngine wa kiume yupo kwnye textile industry ndo msimamizi, taarifa zote za sector zao wanapelek kwa Mo. Mo ni issue za Auditing n kuhakikisha mifumo yte iko sawa. Sio ndug tu wanaoiendesha bizness kun wat wengne wenye qualification n capabilities wamepew wasimamie miradi, familia n wakaguzi tu.
Dangote ana watot wa2 wa kike wote wamepew majukum mwingne kiwand cha sukari na mwingine kwenye cement kusimamia. Wanaleta tu hesabu na feedback, Father mwenyw ana Audit n kuhakikidha Biashara zao zte znasonga
 
Huwezi kuwa kama wao
Huwezi kuwa kama mo
Huwezi kuwa kama bakhresa
Pia huwezi kuwa kama Mimi .
Wewe kuwa kama wewe.
Kikubwa Maarifa Kwa kiwango chako tayari unayo.
Akili uliyotumia kujua wao wana misingi mizuri ya familia zao, itumie vizuri
Itakusaidia kuwa wa tofauti na kila MTU.
UTOFAUTI WAKO NDIYO THAMANI YAKO
 
Baada ya babake kuiaga yeye ndo alipewa u succsssor. Yeye ndo msimamizi wa biashara zote ila on the ground kuna dadake Fatma ypo kwenye kiwanda cha bevarage ndo kazi yke kusimamia n kufanya marketting upande huo. Kuna kaka mwngine wa kiume yupo kwnye textile industry ndo msimamizi, taarifa zote za sector zao wanapelek kwa Mo. Mo ni issue za Auditing n kuhakikisha mifumo yte iko sawa. Sio ndug tu wanaoiendesha bizness kun wat wengne wenye qualification n capabilities wamepew wasimamie miradi, familia n wakaguzi tu.
Dangote ana watot wa2 wa kike wote wamepew majukum mwingne kiwand cha sukari na mwingine kwenye cement kusimamia. Wanaleta tu hesabu na feedback, Father mwenyw ana Audit n kuhakikidha Biashara zao zte znasonga
Huu mgawanyo wa kazi ni mzuri hata kwenye familia yetu tunaweza kufanya kama wao kikubwa ni kipi cha kuwekeza
 
Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna.

Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla.

Wakuu, kwa heshima na taadhima naomba mnipe muongozo na mawazo kipi nifanye ili kufikia malengo yangu ya kufaifanya familia iwe kama ya Bakhresa.

Natanguliza shukrani.
Waweza kuta mna miliki 15 kwa 30 mkasema nanyie mna shamba!
 
Huwezi kuwa kama wao
Huwezi kuwa kama mo
Huwezi kuwa kama bakhresa
Pia huwezi kuwa kama Mimi .
Wewe kuwa kama wewe.
Kikubwa Maarifa Kwa kiwango chako tayari unayo.
Akili uliyotumia kujua wao wana misingi mizuri ya familia zao, itumie vizuri
Itakusaidia kuwa wa tofauti na kila MTU.
UTOFAUTI WAKO NDIYO THAMANI YAKO
Kila mtu duniani ana msukumo wa ndani unaochagizwa na msukumo wa nje huwezi kuignore mentors
 
Mkuu kuifanya familia yako kuwa kama bharesa au mo dewji hauwezi kufanikiwa kwa kuwa baba yako na babu yako pia hawakuifanya familia zao kuwa kama za bharesa au mo.
 
Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna.

Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla.

Wakuu, kwa heshima na taadhima naomba mnipe muongozo na mawazo kipi nifanye ili kufikia malengo yangu ya kufaifanya familia iwe kama ya Bakhresa.

Natanguliza shukrani.
Unachekesha kweli, sasa si ukawaulize moja kwa moja?
 
Mkuu kuifanya familia yako kuwa kama bharesa au mo dewji hauwezi kufanikiwa kwa kuwa baba yako na babu yako pia hawakuifanya familia zao kuwa kama za bharesa au mo.
Kwenye familia yetu baba ndio alikuwa mwana mageuzi wa uchumi waliomtangulia babu zetu walikuwa wakulima wa jembe la mkono (subsistence farming)

Kwahiyo kama ni reference tunaanzia kwa mzee sio babu zetu
 
Kama ni mali za urithi kuziendeleza peke yako kwa familia zetu za kiswahili ni ngumu sijui ninyi mlilelewa vipi na vipato vya ndgu zako.

Komaa mwenyewe jombaa
 
Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna.

Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla.

Wakuu, kwa heshima na taadhima naomba mnipe muongozo na mawazo kipi nifanye ili kufikia malengo yangu ya kufaifanya familia iwe kama ya Bakhresa.

Natanguliza shukrani.
Añza kuuza ice cream Kama bakhresa baada ya miaka 5 na wewe unakuwa bakhresa.
 
Back
Top Bottom