Natamani kuonana na Rais Samia, “face to face and privately”. Nina ujumbe wake, nitamfikiaje?

Natamani kuonana na Rais Samia, “face to face and privately”. Nina ujumbe wake, nitamfikiaje?

Hiw
Idadi ya watu huwa wanasisitiza kuwa wanataka kuonana na rais pekee huwa wanakuwa na matatizo ya akili na ukisikiliza wanachosisitiza wanataka rais pekee akisike unakuta hakina maana yoyote

Idadi ya watu huwa wanasisitiza kuwa wanataka kuonana na rais pekee huwa wanakuwa na matatizo ya akili na ukisikiliza wanachosisitiza wanataka rais pekee akisike unakuta hakina maana yoyote.
Huo ndio mitizamo wako, rais ni kama mfalme, kuna mambo huwa anatakiwa kuambiwa, yeye kama yeye, kwa ajili ya ufalme wake na wananchi wake. Sio kila kitu mtaleta siasa kama hujui protoko za kumuona rais, ukiweza kaa kimya waseme wanaojua
 
Hiw



Huo ndio mitizamo wako, rais ni kama mfalme, kuna mambo huwa anatakiwa kuambiwa, yeye kama yeye, kwa ajili ya ufalme wake na wananchi wake. Sio kila kitu mtaleta siasa kama hujui protoko za kumuona rais, ukiweza kaa kimya waseme wanaojua
Kutumia phrace ''yeye kama yeye'' ni makosa na ni ujinga unaorithiwa na wabongo wengi. Maneno sahihi ni ''yeye kama rais'' au ''yeye binafsi''.
 
Na alivyozungukwa na wapambe na machawa,shuguli

Ova
 
Amani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia mh rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Tafuta kamba au ngazi .ila kuwa makini anapenda watu wenye vifua vipana.ukifanikiwa kumuona usinisahahu na mimi nataka kumuona pia PRIVATELY, I and She alone
 
Kifua, nincho mkuu, ndo maana nataka kumwona privately, ningekuwa sina ningeandika humu ujumbe
 
Tafuta kamba au ngazi .ila kuwa makini anapenda watu wenye vifua vipana.ukifanikiwa kumuona usinisahahu na mimi nataka kumuona pia PRIVATELY, I and She alone
Ngazi na kamba sijakuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom