Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idadi ya watu huwa wanasisitiza kuwa wanataka kuonana na rais pekee huwa wanakuwa na matatizo ya akili na ukisikiliza wanachosisitiza wanataka rais pekee akisike unakuta hakina maana yoyote
Huo ndio mitizamo wako, rais ni kama mfalme, kuna mambo huwa anatakiwa kuambiwa, yeye kama yeye, kwa ajili ya ufalme wake na wananchi wake. Sio kila kitu mtaleta siasa kama hujui protoko za kumuona rais, ukiweza kaa kimya waseme wanaojuaIdadi ya watu huwa wanasisitiza kuwa wanataka kuonana na rais pekee huwa wanakuwa na matatizo ya akili na ukisikiliza wanachosisitiza wanataka rais pekee akisike unakuta hakina maana yoyote.
Mkuu, nimekuja humu sio kwamba huko,sijukujui, najua utakuwa mzunguko mkubwa, ndo maana nimekuja humo nilitegemea msaadaNenda kwa mbunge wako au mkuu wako wa wilaya.
Yeye akusaidie kufikisha ujumbe wako... tofauti na hapo nenda geti la magogoni uchi wa mnyama utasikilizwa.
Ova
Kutumia phrace ''yeye kama yeye'' ni makosa na ni ujinga unaorithiwa na wabongo wengi. Maneno sahihi ni ''yeye kama rais'' au ''yeye binafsi''.Hiw
Huo ndio mitizamo wako, rais ni kama mfalme, kuna mambo huwa anatakiwa kuambiwa, yeye kama yeye, kwa ajili ya ufalme wake na wananchi wake. Sio kila kitu mtaleta siasa kama hujui protoko za kumuona rais, ukiweza kaa kimya waseme wanaojua
HehehMuone ndugu Luka mwashabwa atakusaidia sana na lazma abubujikwe na machoz
Hata WRS kumfikia ni shughuli..!Check na Waziri Rajab Salum...ndo ana funguo za Ikulu
Tafuta kamba au ngazi .ila kuwa makini anapenda watu wenye vifua vipana.ukifanikiwa kumuona usinisahahu na mimi nataka kumuona pia PRIVATELY, I and She aloneAmani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia mh rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.