Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda makumbusho ofisi za usalama wa taifa,waambie una jambo nyeti unataka mueleza rais,watakupelekaMwenye kujua protoko please
Thanks bro
Mambo ya kukopa nenda BenkiAmani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia mh rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Kumbuka yule ni chura kiziwiAmani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia mh rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Yule waziri wa elimu kashindwa kumuona wewe kapuku ndiyo utaweza?Amani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia mh rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
liandike hapa atafikishwa, mawaziri karibu wote wako humuDaa! Lakin jambo nyeti sana mkuu
Apo ulipoandika "MBAKA" na "LAMDA" Ulikua unamaanisha nini mkuu?Sahau hilo chini ya rais huyu aiwezekani huyo Kwa Sasa ata kula analishwa awezi kujifanyia maamuzi yoyote Yale mbaka wanaomzunguka wapende.
Lamda kampeni zikianza uwenda akawa karibu na wananchi
Watu wa mbeya/Iringa ndio Kiswahili chaoApo ulipoandika "MBAKA" na "LAMDA" Ulikua unamaanisha nini mkuu?
Basi wanakosea vibaya mnoWatu wa mbeya/Iringa ndio Kiswahili chao
Hivi rais si anawasaidizi wakeDaaa, BAsi nchi yetu ni shida sana
🤣🤣🤣Kama prof.waziri mkenda aliwekewa kauzibe wewe ni nani??
Kama Steve Nyerere the comedy anaweza kuonana na mama kirahisi kwanini Prof Mkenda ashindwe??Kama prof.waziri mkenda aliwekewa kauzibe wewe ni nani??
Ukibahatika kumpata mwambie, hii mitungi ya gesi yenye picha yake inamdhalilisha ,kwani wengi wanapewa,wanatumia gesi iliyopo, ikiisha hawana fedha za kujaza gesi nyingine,matokeo yake mitungi inafutwa ile picha yake,na mtungi kuuzwa kwenye makampuni ya gas kwa Tsh 10,000/=Amani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia Mheshimiwa Rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Weka tu humu jamii forums unachotaka kumwambia ujumbe utamfikiaAmani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia Mheshimiwa Rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.