Mme Mwenza
JF-Expert Member
- Feb 6, 2025
- 252
- 301
Ila kiukwel wangeweka ata jukwaa la maoni kwa rais wa tz kama si kuonana nae private. Jaribu kwa viongoz wakubwa wakupe njia huenda M-ngu akasikia ombi lako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unataka kupeleka umbeya ikulu.!Amani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia Mheshimiwa Rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Wewe Gabeji mleta mada Chadema wewe rudia kusoma post zako zote unazoanxisha humu Jamii Forums halafu jitathmini.wewe mwenyewe kama unastahili kuonana na RaisiAmani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia Mheshimiwa Rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Baba yako alivyokuwa anakutana na wananchi sio sawa na hawa wa sasa.Nenda Ikulu.
Kaongee na receptionist.
Yule receptionist .
Nenda Ikulu.
Just WALK IN if you want.
Please, message yenyewe isiwe No Reform. No Elections. Utaishia Coco Beach.
Kwa hiyo kuwa CHADEMA ni ugaidi au uhaini!!??Wewe Gabeji mleta mada Chadema wewe rudia kusoma post zako zote unazoanxisha humu Jamii Forums halafu jitathmini.wewe mwenyewe kama unastahili kuonana na Raisi
Lucas Mwashambwa anaweza akakusaidiaMwenye kujua protoko please
Asome post zake kwanza halafu ajitathminiKwa hiyo kuwa CHADEMA ni ugaidi au uhaini!!??
Kuwa CHADEMA unakuwa si Mtanzania!!?
Kuwa CHADEMA kunamyima mtu uhalali wa kukutana na kiongozi wake!!??
Pendejo mkubwa wewe.
Pitia kwanza kwa mtoto wake, Mr Albert Chalamila atakuunganishaAmani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia Mheshimiwa Rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Anzia kwa Mwenyekiti wa kitongoji atakupa barua ya kukjtambulisha kwa Mwenyekiti wa Mtaa, yule wa Mtaa atamuhusisisha Mtendaji wa Mtaa.Mwenye kujua protoko please
Hahahaaa!!Muone ndugu Luka mwashabwa atakusaidia sana na lazma abubujikwe na machoz
Hakikisha unaandika hoja zako kwenye karatasi, maana kabla ya kumfikia hoja zako zinaweza kuwa zimeyeyuka, inaweza kuwa nyepesi mfikia rais wa USA kuliko marais wa Afrika masharikiAmani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia Mheshimiwa Rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Amani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia Mheshimiwa Rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Vijana wa Makumbusho wana mambo mengi sana, siku moja boss wao ameniita ofisini kwake walinisumbua sana , mwishoe wakaona boss wao ananisindikiza ,walijaa kwenye mfumo ,nikikumbukaga huwa na cheka sana
Nimecheka kijinga sana mkuuMkuu unataka kupeleka umbeya ikulu.!
Liandike hapa jukwaani.Daa! Lakin jambo nyeti sana mkuu