Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kwenye handle yake Twitter (X), omba appointment unaweza bahatisha hiyo nafasiDaa! Lakin jambo nyeti sana mkuu
Labda umtafute Lucas MwashambwaAmani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia Mheshimiwa Rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Ukifanikiwa ni'tagAmani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia Mheshimiwa Rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Mtafute Mwijaku utampata kirahisi snAmani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia Mheshimiwa Rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Daaaa! Mambo yataharibaika sasa jamani,mbona kaz sanaHii nchi Ina ukiritimba wa ajabu sana na wakipumbav naweza sema..huko Kwa rais umeenda mbali sana kwenye hizi sehem zetu za rizki kukuona t boss mitihani , anzia huku Kwa mkuu wa wilaya wallahi unaweza kuzunguka week mbili watu wanakuzungusha t mradi ukate tamaa,..
Huko Kwa rais ndugu yangu labda uvizie msafara wake uombe kuongea na hii nayo wanaweza wakukamate wakupige wakupe kesi ya uhaini unataka kumuua rais.
Lakini Mwijaku, Steve Nyerere wakitaka kumuona hata saa 9 usiku ni chap tuHii nchi Ina ukiritimba wa ajabu sana na wakipumbav naweza sema..huko Kwa rais umeenda mbali sana kwenye hizi sehem zetu za rizki kukuona t boss mitihani , anzia huku Kwa mkuu wa wilaya wallahi unaweza kuzunguka week mbili watu wanakuzungusha t mradi ukate tamaa,..
Huko Kwa rais ndugu yangu labda uvizie msafara wake uombe kuongea na hii nayo wanaweza wakukamate wakupige wakupe kesi ya uhaini unataka kumuua rais.
Sahivi ni VEO yupo busy sn
Hiyo ndo shortcut ww unadhani masikharaJaribu kuwa serious mkuu, nipe protoko zake
Kuna samiah App nenda kwenye menu Yao utakuta ongea na samiah!watakuoa option ya sekta zao utachagua halafu utaandika kama ni ndoto,maonyo, au unabii maana ndio zama za manabii utaandika humor na ku submit!Amani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia Mheshimiwa Rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Shukurani mkuu, hata hiyo poaKuna samiah App nenda kwenye menu Yao utakuta ongea na samiah!watakuoa option ya sekta zao utachagua halafu utaandika kama ni ndoto,maonyo, au unabii maana ndio zama za manabii utaandika humor na ku submit!
Kuonana name live in ngumu sana jamaa hasa zama hizi za corruption na uchawa ni hatari we huoni hata PROF MKENDA WAZIRI WA ELIM ALILALAMIKA HARUHUSIWI KUONANA NAE!!
KWASASA MAMA WANAMLINDA SANA KULIKO WAKATI WOWOTE ULE!
Asante kwa ushauli mkuuKwa Nchi zetu za kihayawani ni ngumu kumfikia rais kiurahisi.wewe andika tu mtandaoni ujumbe utamfikia hasa kwenye ukurasa wake huko X au Twitter.Tofauti na hapo ni ngumu maana hata ukiandika barua mara nyingi Huwa yanaishia Kwa wasaidizi na hakuna hatua itachukuliwa dhidi ya ujumbe wako
Nenda makumbusho ofisi za usalama wa taifa,waambie una jambo nyeti unataka mueleza rais,watakupeleka
Naam kabisa, CHAWA kilaza, ambaye hana akili kabissaKALE NI KACHAWA. umexahau mkuu