Natamani kuonana na Rais Samia, “face to face and privately”. Nina ujumbe wake, nitamfikiaje?

Natamani kuonana na Rais Samia, “face to face and privately”. Nina ujumbe wake, nitamfikiaje?

Daaa! Kama ndo mtiriko huo , mbona hata mambo yanaweza kuharibika kabla ya ujumbe kufika mkuu,
 
Wewe mwaga hapa jamvini, muda huu huu zitamfikia, yaani haihitaji hata protocol.

Ukiweka tu hapa, haipiti dk10 kama habari nyeti kweli lazima zimfikie.
 
Hii nchi Ina ukiritimba wa ajabu sana na wakipumbav naweza sema..huko Kwa rais umeenda mbali sana kwenye hizi sehem zetu za rizki kukuona t boss mitihani , anzia huku Kwa mkuu wa wilaya wallahi unaweza kuzunguka week mbili watu wanakuzungusha t mradi ukate tamaa,..
Huko Kwa rais ndugu yangu labda uvizie msafara wake uombe kuongea na hii nayo wanaweza wakukamate wakupige wakupe kesi ya uhaini unataka kumuua rais.
 
Hii nchi Ina ukiritimba wa ajabu sana na wakipumbav naweza sema..huko Kwa rais umeenda mbali sana kwenye hizi sehem zetu za rizki kukuona t boss mitihani , anzia huku Kwa mkuu wa wilaya wallahi unaweza kuzunguka week mbili watu wanakuzungusha t mradi ukate tamaa,..
Huko Kwa rais ndugu yangu labda uvizie msafara wake uombe kuongea na hii nayo wanaweza wakukamate wakupige wakupe kesi ya uhaini unataka kumuua rais.
Daaaa! Mambo yataharibaika sasa jamani,mbona kaz sana
 
Hii nchi Ina ukiritimba wa ajabu sana na wakipumbav naweza sema..huko Kwa rais umeenda mbali sana kwenye hizi sehem zetu za rizki kukuona t boss mitihani , anzia huku Kwa mkuu wa wilaya wallahi unaweza kuzunguka week mbili watu wanakuzungusha t mradi ukate tamaa,..
Huko Kwa rais ndugu yangu labda uvizie msafara wake uombe kuongea na hii nayo wanaweza wakukamate wakupige wakupe kesi ya uhaini unataka kumuua rais.
Lakini Mwijaku, Steve Nyerere wakitaka kumuona hata saa 9 usiku ni chap tu
 
Kwa Nchi zetu za kihayawani ni ngumu kumfikia rais kiurahisi.wewe andika tu mtandaoni ujumbe utamfikia hasa kwenye ukurasa wake huko X au Twitter.Tofauti na hapo ni ngumu maana hata ukiandika barua mara nyingi Huwa yanaishia Kwa wasaidizi na hakuna hatua itachukuliwa dhidi ya ujumbe wako
 
Amani iwe kwenu nyote,

Naomba msaada wa kumfikia Mheshimiwa Rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Kuna samiah App nenda kwenye menu Yao utakuta ongea na samiah!watakuoa option ya sekta zao utachagua halafu utaandika kama ni ndoto,maonyo, au unabii maana ndio zama za manabii utaandika humor na ku submit!

Kuonana name live in ngumu sana jamaa hasa zama hizi za corruption na uchawa ni hatari we huoni hata PROF MKENDA WAZIRI WA ELIM ALILALAMIKA HARUHUSIWI KUONANA NAE!!

KWASASA MAMA WANAMLINDA SANA KULIKO WAKATI WOWOTE ULE!
 
Angalia usije ukaishia mikononi mwa afande Mafwele na maiti yako ikatupwa mto Rufiji
 
Kuna samiah App nenda kwenye menu Yao utakuta ongea na samiah!watakuoa option ya sekta zao utachagua halafu utaandika kama ni ndoto,maonyo, au unabii maana ndio zama za manabii utaandika humor na ku submit!

Kuonana name live in ngumu sana jamaa hasa zama hizi za corruption na uchawa ni hatari we huoni hata PROF MKENDA WAZIRI WA ELIM ALILALAMIKA HARUHUSIWI KUONANA NAE!!

KWASASA MAMA WANAMLINDA SANA KULIKO WAKATI WOWOTE ULE!
Shukurani mkuu, hata hiyo poa
 
Kwa Nchi zetu za kihayawani ni ngumu kumfikia rais kiurahisi.wewe andika tu mtandaoni ujumbe utamfikia hasa kwenye ukurasa wake huko X au Twitter.Tofauti na hapo ni ngumu maana hata ukiandika barua mara nyingi Huwa yanaishia Kwa wasaidizi na hakuna hatua itachukuliwa dhidi ya ujumbe wako
Asante kwa ushauli mkuu
 
Back
Top Bottom