Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raja Casablanca hayupo CAFCL Wala CAFCC mwaka huu, naweka kumbukumbu sawa.Kutokana na ubora wa Yanga natamani kwenye hatua ya makundi ipangwe kucheza dhidi ya Mamelod sundown, Al Ahly au Raja casablanca.
Tusipangiwe na vitimu vya Simba, Power dynamos au Bamako
Nashukuru sana. Sema nimemuweka juu baada ya kuifunga Al Ahly juzi kwenye kombe la Caf. Anyway hoja yangu ni kwamba tusipangiwe timu CHOVU kama SimbaRaja Casablanca hayupo CAFCL Wala CAFCC mwaka huu, naweka kumbukumbu sawa.
Duh huyu nae ni shabiki wa soka [emoji23][emoji23][emoji2][emoji2] dahNashukuru sana. Sema nimemuweka juu baada ya kuifunga Al Ahly juzi kwenye kombe la Caf. Anyway hoja yangu ni kwamba tusipangiwe timu CHOVU kama Simba
😁 sawa muda ni rafiki mzuri utazungumzaNashukuru sana. Sema nimemuweka juu baada ya kuifunga Al Ahly juzi kwenye kombe la Caf. Anyway hoja yangu ni kwamba tusipangiwe timu CHOVU kama Simba
😂😂😂😂😂 utopoloo pro max sibishani tena na shabiki la uto loloteDuh huyu nae ni shabiki wa soka [emoji23][emoji23][emoji2][emoji2] dah
Aliyemfunga Al Ahly siku za karibuni ni USM Alger na siyo Raja Casablanca.Nashukuru sana. Sema nimemuweka juu baada ya kuifunga Al Ahly juzi kwenye kombe la Caf. Anyway hoja yangu ni kwamba tusipangiwe timu CHOVU kama Simba
Hakika nami natamani Yanga ikutane na hawa vigogoKutokana na ubora wa Yanga natamani kwenye hatua ya makundi ipangwe kucheza dhidi ya Mamelod sundown, Al Ahly au Raja casablanca.
Tusipangiwe na vitimu vya Simba, Power dynamos au Bamako
Ameshapita tayari?Uzuri utopolo atakua pot 4 huko..kwani vina muda basi...mtakutana nao tu!
Just to confuse youDuh huyu nae ni shabiki wa soka [emoji23][emoji23][emoji2][emoji2] dah
Umeona eeeh!! Wajinga huwa tunajuana faster. Naona umenibaini mwenzako. Wewe ni genius.Ujinga wa kurithi wakati unazaliwa ni mbaya sana
Heshima kwako. Wananichanganya sana hawaAliyemfunga Al Ahly siku za karibuni ni USM Alger na siyo Raja Casablanca.
Uzuri magoli yanaingia tena safari hii mengi kuliko msimu uliopita.Kuna tofauti kubwa sana kati ya hii Yanga ya sasa na ile Yanga ya zamani. Yanga ya sasa haiogopi kucheza na timu yoyote ile Barani Afrika. Zaidi tu itawaheshimu wapinzani wake wote atakaokutana naye.
Sema tu mpaka muda huu tumeshindwa kuwa na permanent striker kama ilivyokuwa msimu uliopita.
Na hapa ndipo udhaifu wetu ulipo mpaka sasa. Ila kwingine kote kuko safi.