The Loyalty King
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 1,298
- 2,124
🤣🤣🤣
Mjomba Mbowe, asante kwa kukomboa kikoba chetu, maadui zetu wameanza kujidhihirisha wazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjomba Mbowe, asante kwa kukomboa kikoba chetu, maadui zetu wameanza kujidhihirisha wazi.
🤣🤣Pole Sana kijana sisi bado tupo CHADEMA hadi turudishe gharama zetu tulizokichangia hiki chama.
Huwezi kuwa MPINZANI WA KWELI, kwa katiba tuliyonayo.Hii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.
Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.
Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.
Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.
Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.
Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.
Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.
Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .
Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.
Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .
Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM
Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.
Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.
Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..
Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.
Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
Bongo hakuna mwanasiasa wa kumuamini tena usithubutu2009 FORM four bado ulikuwa mchanga sana ,hata lisu ni wale wale tu ,siasa za bongo upuuzi mtupu ndio unaona wafu wanakimbilia CCM angalau wale na familia zao .
USSR
Wengi ingawa hatujaandika tumeachana na chadema rasimi toka juziHii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.
Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.
Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.
Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.
Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.
Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.
Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.
Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .
Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.
Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .
Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM
Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.
Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.
Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..
Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.
Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
Kabisa ni kutwanga maji kwenye kinuHuwezi kuwa MPINZANI WA KWELI, kwa katiba tuliyonayo.
Hii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.
Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.
Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.
Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.
Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.
Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.
Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.
Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .
Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.
Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .
Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM
Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.
Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.
Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..
Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.
Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
Kichaa wewe wapinzani wenyewe chadema hasira zako za kutumbuliwa na licheti lako feki ndio unamchukia jeshiWe nae sijui unaongea nini hapa.
Huyo Magu alikuwa mpuuzi sana kuwachukia Wapinzani na kuwaumiza. Yeye alitaka wamuimbie mapambio amekuwa nani? Alipaswa aelewe kuwa kupingwa ni jambo la kawaida, na walikuwa wanatimiza wajibu wao.
Magufuli alikuwa anasema "Maendeleo hayana Chama!" Kisha kwenye jukwaa hilo hilo anasema "Nyie watu wa Jimbo X kama mtachagua mbunge wa Chadema sitawajengea barabara na maji siwaletei. Chagueni CCM". Jinga kabisa lile kichwa kama korosho.
Hahahah!!!!!yule alijawa na ghilba,chuki.na hasadiWe nae sijui unaongea nini hapa.
Huyo Magu alikuwa mpuuzi sana kuwachukia Wapinzani na kuwaumiza. Yeye alitaka wamuimbie mapambio amekuwa nani? Alipaswa aelewe kuwa kupingwa ni jambo la kawaida, na walikuwa wanatimiza wajibu wao.
Magufuli alikuwa anasema "Maendeleo hayana Chama!" Kisha kwenye jukwaa hilo hilo anasema "Nyie watu wa Jimbo X kama mtachagua mbunge wa Chadema sitawajengea barabara na maji siwaletei. Chagueni CCM". Jinga kabisa lile kichwa kama korosho.
Wewe ukilima inatosha sio wite tuhangaike na namba saba kila sikuVijana jikiteni kwenye kilimo na uzalishaji msitumike na wanasiasa
Kupigania hvyo nje ya vyama kwa Tz ni ndoto,nchi ya wanasiasa hiiiNdugu yangu angalia nchi zaidi na sio siasa. Pigania haki, demokrasia na katiba mpya drama za vyama achana nazo. Wengi wetu hapa hatuna vyama
naungana mkono hoja MTU USIKUBALI KUTUMIKA NA WANASIASA(kutumiwa na wanasiasa).USIDANGANYIKE.Vijana jikiteni kwenye kilimo na uzalishaji msitumike na wanasiasa
nisaidie mkuu,Usinishirikishe..!