Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 735
- 667
- Thread starter
- #81
Walipwe watu 200?Achana nae atakupotezea muda mjinga wa imani hawezi kukuelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walipwe watu 200?Achana nae atakupotezea muda mjinga wa imani hawezi kukuelewa.
Maamposa ndiye mtumishi anayetumika na mungu kuponya watu.nani amekuambia ni nabii wa Mungu?!. hizi ni sababu chache ambazo nina dhibitisha bila dhahiri yeye si nabii wa mungu
1.nionyeshe sehemu ya biblia ambayo mafuta yanatumika kuponya badala ya nguvu za Roho mtakatifu?
2. anajipa yeye utukufu badala kumrudishia Mungu utukufu anapoponya hakuna binadamu yeyote mwny uwezo wa kuponya bali nguvu za Mungu utumika kumponya mtu
3. ukitaka ujionee kama anatumika na Mungu au lah fwatilia kwny matangazo yake na mikutano n.k hakuna sehemu anapopewa utukufu yesu kupitia nguvu za Roho mtakatifu la zaidi utaona mtu anajisifu mpk kujiita buldoza wakt buldoza pekee ni Yesu. binadamu hana uwezo wa kumponya yeyote bali mtumishi hutumika kama chombo tu
ijue kweli nayo itakuweka huru
Hiyo sio Kaliynda kweli? japo sitaki kuingilia imani za wengine.vilema wanatembea, vipofu wanaona,
Kila mtu anasema utapeli ila ukimuulza utapeli kivipi anakuwa hana
soma uelewe chiefKila mtu anasema utapeli ila ukimuulza utapeli kivipi anakuwa hana fact
Hyo sabbu namba 2 nakujibu hvi, kama zinatumika nguvu za mungu sasa kwann unampinga mwamposa wakati anatumia biblia ambalo ni neno la mungu?
soma uelewe chief nimekuambia anajipa utukufuKila mtu anasema utapeli ila ukimuulza utapeli kivipi anakuwa hana fact
Hyo sabbu namba 2 nakujibu hvi, kama zinatumika nguvu za mungu sasa kwann unampinga mwamposa wakati anatumia biblia ambalo ni neno la mungu?
Ile idadi ya milioni saba imekosewaWote huko ni wendwzm tu
Nchi hii ina wapmbv na wjng wengi sana
Ova
Hao ambao hawaamini ndio wa kwanza kununua mafutaKuhusu vilema kutembea sina ushahd ila mambo ya ardhi nina ushahidi kbs na wale waliofungwa kichawi kufunguliwa ushahid mi ninao. Kama hayajawahi kukufka we beza tu ila sku yakikufka ndo utajua. Humu wajuaji mpo weng sn mpk kuna wengne humu hamtambui uwepo wa MUNGU wala uwepo wa uchawi sa watu wa namna yenu n kuwanyamazia tu ila ambao yalishawafka mambo mazto ya ulimwengu wa roho wanajua. Go go go mtumish wa MUNGU ndugu mwamposa goooo. Humu kila mtu ana hela, ni tajiri, anajua dini, ana kazi, ameajiri yan jf imejaa watu wazto tu huwa nacheka sn.
Mkuu amini unachoamini, ila mwamposa ametumwa na mungusoma uelewe chief
soma uelewe chief nimekuambia anajipa utukufu
😂😂😂Sio kweli huko kama kwa mganga tu dini zote wapoWaislamu wamejaa sana uku pia
aaa,amini😂😂😂Sio kweli huko kama kwa mganga tu dini zote wapo
Mwamposa sawa na mganga tu 😂😂😂Waislamu wameja
aaa,amini
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini hayo maigizo yenu.
yaani uwe kilema (mlemavu wa viungo), halafu from nowhere, utembee kwa sababu ya kuombewa na Mwamposa!!
Magongo yenyewe karibia yote yanaonekana kuwa ni mapya! Hakika hii nchi ina wajinga wengi kweli kweli. Wacha tu ccm iendlee kunufaika kupitia huu ujinga wa Watanzania walio wengi.
Vipi kama upya wa magongo umetokana na filters za Camera?Mbona watuonesha magongo tu?
Na ukitazama kwa makini ni kama magongo yote ni prototype ile ile, as if yametoka kwa seremala mmoja
Isijekuwa aliwapaka gundi huko alikotoka amekuja kuwabandulia hapovilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Huko sindio nyumban kwake ww,acha wengeAnaendaje Songea wakat kuna walemavu kibao pale k koo,angeanz na wale
Acha porojoIsijekuwa aliwapaka gundi huko alikotoka amekuja kuwabandulia hapo
Wewe ni mlemavu WA ubongo lakini hujaponywa,tangu lini kiwete anatumia magongo,matepeli WA makanisani wanaandaa script na kugawa magongo na kuyakusanya,Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa mwamposa songea ni neema. ,umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga. Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini, .