Natumai wote tumeshamaliza 'Kuushangaa' Utezi wa Mama, sasa kama JF 'Great Thinkers' jibuni Maswali yangu haya....

Natumai wote tumeshamaliza 'Kuushangaa' Utezi wa Mama, sasa kama JF 'Great Thinkers' jibuni Maswali yangu haya....

1. Je, Heshima ya Cheo cha Ukuu wa Wilaya imepanda au imeshuka?

2. Je, mwenye Umri wa Miaka kuanzia 45 au 50 anastahili kuitwa Kijana?

3. Je, Kuteua Makundi Maalum Kiuweledi ( Professionally ) kuwa Wakuu wa Wilaya ni Political Failure au Political Success?

4. Je, ni kweli kwamba kila Mtu tu ( ili mradi anapumua na kujamba 24/7 ) basi anapashwa kuwa Political Figure na Kuteuliwa?

5. Je, Teuzi za Ukuu wa Wilaya ni takwa la Uongozi wa Kisayansi au ni Gulio Maalum la Kulipana Fadhila?

6. Je, Teuzi zimezingatia Historia ya Kiutendaji ya Mteuliwaji na hata Uwezo wake wa Kifikra na Kupambanua 'Issues' zenye Kuhitaji Akili Kubwa?

7. Je, kama ' JF Great Thinkers' tumeshajiuliza ni kwanini Watanzania wametumia muda mrefu Kusubiria huu Uteuzi na kwanini baada ya Uteuzi kutoka tunajadili sana 'Personalities' na si Kazi ngumu iliyoko mbeleni mwa Wateuliwa huku wengine tukiona kwamba Walioteuliwa ndiyo wanaenda kuwa Msaada wetu wa Maisha yetu Magumu na Njaa tulizonazo mpaka katika Kope za Macho yetu?

Haya GENTAMYCINE nasubiri Majibu yenu kwa haya Maswali yangu Saba ( 7 ) tu hapa ila namalizia kwa Kusema Tanzania bado ina Safari ndefu kufika kule inakotaka kwenda na sasa pengine ni wakati Muafaka Watanzania wenye Kuitakia Mema nchi hii ili iondokane na 'Uswahili' huu ninaouona tukaungana na kuomba Katiba Mpya.

Dogo uliyeula 'Siha' usiniangushe huko.
Mkuu wa wilaya anawexa kuwa yoyote anayeweza kuupepeta.Mpango mzima ni mkurugenzi.Ndio maana wanateuliwa Kama fadhila.Siku za nyuma wilaya va Korogwe iliyongozwa na DC ambaye alilkuwa hajui kusoma na kusndika
 
Mama anacho kifanya nikuturejeshea furaha ilopotezwa hapo kadimu... Mengine yatajiseti mbeleni
 
1. Je, Heshima ya Cheo cha Ukuu wa Wilaya imepanda au imeshuka?

2. Je, mwenye Umri wa Miaka kuanzia 45 au 50 anastahili kuitwa Kijana?

3. Je, Kuteua Makundi Maalum Kiuweledi ( Professionally ) kuwa Wakuu wa Wilaya ni Political Failure au Political Success?

4. Je, ni kweli kwamba kila Mtu tu ( ili mradi anapumua na kujamba 24/7 ) basi anapashwa kuwa Political Figure na Kuteuliwa?

5. Je, Teuzi za Ukuu wa Wilaya ni takwa la Uongozi wa Kisayansi au ni Gulio Maalum la Kulipana Fadhila?

6. Je, Teuzi zimezingatia Historia ya Kiutendaji ya Mteuliwaji na hata Uwezo wake wa Kifikra na Kupambanua 'Issues' zenye Kuhitaji Akili Kubwa?

7. Je, kama ' JF Great Thinkers' tumeshajiuliza ni kwanini Watanzania wametumia muda mrefu Kusubiria huu Uteuzi na kwanini baada ya Uteuzi kutoka tunajadili sana 'Personalities' na si Kazi ngumu iliyoko mbeleni mwa Wateuliwa huku wengine tukiona kwamba Walioteuliwa ndiyo wanaenda kuwa Msaada wetu wa Maisha yetu Magumu na Njaa tulizonazo mpaka katika Kope za Macho yetu?

Haya GENTAMYCINE nasubiri Majibu yenu kwa haya Maswali yangu Saba ( 7 ) tu hapa ila namalizia kwa Kusema Tanzania bado ina Safari ndefu kufika kule inakotaka kwenda na sasa pengine ni wakati Muafaka Watanzania wenye Kuitakia Mema nchi hii ili iondokane na 'Uswahili' huu ninaouona tukaungana na kuomba Katiba Mpya.

Dogo uliyeula 'Siha' usiniangushe huko.
1.Heshima ya cheo cha DC imeaandelea kushuka, maana haijaanza kushuka Jana. Mwenyekiti wa KUU hapaswi kuwa wa majaribio.
2.Mteuzi akiwa Mwanza aliahidi kuteua vijana, naamini 45-50yrs si kijana huyu bali mtu mzima umri wa kati. Na Mimi kwa maoni yangu huyu ndo mtu mwenye umri sahihi wa kuwa DC na siyo kundi la balehe kama walivyokuwa kina Hapi.
3.Kuteua makundi maalum kiweledi (kiujanja) ni Political failure. Ni sawa na Kujificha kwenye shamba ukitegemea kutoonekana.
4.Si kila mtu anafaa kila mahali, ila mwendelezo wa kulipana fadhila na kuwapa waliokosa kile ni utamaduni mpya ulioasisiwa bila kuangalia faida ya dhumuni halisi la kuwepo cheo cha DC kisheria.
5.Teuzi za DC zapaswa kuwa takwa la kisayansi ila limeguezwa juu chini wa sasa.
6.Mtu anayekwenda kudeal na 75% ya kazi zake akigusana na watumishi wa Umma wenye weledi na ujanja tofauti na huku 25% pekee ndo akideal na wakulima na wafugaji apaswa kuwa mtu mgumu kweli kweli. Apaswa kuwa mwenye maono kiuhalisia na si maono ya mdomoni vinginevyo anakwenda kuwa msikiliza majungu toka kwa makada watakaojipendekeza.
7.Suala la kutaka katiba mpya kwa sasa ni muhimu kuliko wakati wowote. Miaka 6 iliyopita imetuonesha mapungufu dhahiri ya Katiba tuliyonayo kuliko wakati wowote.
 
Uwepo wangu 24/7 hapa JamiiForums na Mawazo yangu yenye Tafakuri Tunduizj ( Critical Thinking ) nyingi ambaye yameshatumika na Kusaidia mengi katika nchi yako hii GENTAMYCINE sina Hadhi ya Kuwa DC au RC na hata Ubunge, ila kwa Urais au kuwa Presidential Chief Advisor
ndiko naweza Kukuelewa na nina uhakika kwa jinsi nilivyobarikiwa na Mola ( Maulana ) nitakuwa Msaada mkubwa kwa Tanzania yako ( yetu )

Na naomba Mwenyezi Mungu siku moja niwe Rais wenu na mumpate Nyerere mwingine ili si tu Tanzania au Uganda au Rwanda ifaidike nami bali Bara zima la Afrika lifaidike na GENTAMYCINE ambapo nitapenda Kuongoza kwa miaka yangu Mitano ( 5 ) tu ila najua kwa mtakavyopenda 'Unyerere' wangu mtaniomba nitawale Tanzania mpaka nitakapochoka.
kill dem dope.gan eni yu
 
uhamasishaji wa shughul za .maendeleo,kusimamia utekelezaji wa ilani ya chama.wote waliopata wanaweza kutoa maamuz kwan wanajua kusoma na kuandika. kisarawe ilishafubguka kiutalii ombi na wito isife ile spilit, utalii wa kisalawe uendelezwe na celebriturye aliyeenda huko akatusaidie
 
Niko hapa kushuhudia comment za roho za kwann.hahahahah......
Mi naona kaz ya u Dc sio kaz ngum sana hao walioteuliwa kushindwa kuifanya...

Sasa mnataka apewe nan...?business as usual hamtak.bo yanabadilishwa hamtak..mnataka nin..ndomana unaambiwa..mtu yuko radhi ampe deal mtu wa mbal kuliko ampe deal rafik yake wa karib ambae muda wote yuko nae..roho za kwann achen ndugu zangu..tupambane sana.uchawa unafaida...nawew kuwa chawa..kulamba miguu kuna faida.nawew lamba..dunia nzima iko hvyo..hata ukienda kwa trump..hata obama hata biden..aliweka washkaj zake vitengo ili awe salama...hata ningekua mm..
akili ya ajabu sana hii
 
Uteuzi nimeuelewa, subiri mtoe hukumu ya utendaji wao. Wazee wakapumzuke.
 
Uteuzi wa Sasa,haujatoa kipaumbele professional,sio mbaya ngoja tuone utendaji wao,then baada ya miez 12,tutakuwa na evaluation ya utatendaj wao.japo hk ,cheo hk Cha ukuu wa wilaya,binafsi huwa naona hakina umuhimu Sana,kwani kaz zote za wilaya hufanywa na DED, na Mara nyingi DED huwa anatoa ripoti za kaz zake zote kwa waziri tamisemi,kiukweli cheo Cha ukuu wa wilaya kinapaswa kiwepo lkn si muhimu sana.
 
Uwepo wangu 24/7 hapa JamiiForums na Mawazo yangu yenye Tafakuri Tunduizj ( Critical Thinking ) nyingi ambaye yameshatumika na Kusaidia mengi katika nchi yako hii GENTAMYCINE sina Hadhi ya Kuwa DC au RC na hata Ubunge, ila kwa Urais au kuwa Presidential Chief Advisor
ndiko naweza Kukuelewa na nina uhakika kwa jinsi nilivyobarikiwa na Mola ( Maulana ) nitakuwa Msaada mkubwa kwa Tanzania yako ( yetu )

Na naomba Mwenyezi Mungu siku moja niwe Rais wenu na mumpate Nyerere mwingine ili si tu Tanzania au Uganda au Rwanda ifaidike nami bali Bara zima la Afrika lifaidike na GENTAMYCINE ambapo nitapenda Kuongoza kwa miaka yangu Mitano ( 5 ) tu ila najua kwa mtakavyopenda 'Unyerere' wangu mtaniomba nitawale Tanzania mpaka nitakapochoka.
Sasa unyerere karne hii uoni ka ushafeli??? We kaa reserve uwezi jua mbeleni
 
uhamasishaji wa shughul za .maendeleo,kusimamia utekelezaji wa ilani ya chama.wote waliopata wanaweza kutoa maamuz kwan wanajua kusoma na kuandika. kisarawe ilishafubguka kiutalii ombi na wito isife ile spilit, utalii wa kisalawe uendelezwe na celebriturye aliyeenda huko akatusaidie
Spilit?
 
Hiko cheo kifutwe, DAS na RAS wanatosha
Niko hapa kushuhudia comment za roho za kwann.hahahahah......
Mi naona kaz ya u Dc sio kaz ngum sana hao walioteuliwa kushindwa kuifanya...

Sasa mnataka apewe nan...?business as usual hamtak.bo yanabadilishwa hamtak..mnataka nin..ndomana unaambiwa..mtu yuko radhi ampe deal mtu wa mbal kuliko ampe deal rafik yake wa karib ambae muda wote yuko nae..roho za kwann achen ndugu zangu..tupambane sana.uchawa unafaida...nawew kuwa chawa..kulamba miguu kuna faida.nawew lamba..dunia nzima iko hvyo..hata ukienda kwa trump..hata obama hata biden..aliweka washkaj zake vitengo ili awe salama...hata ningekua mm..
 
Yote hayo ni matatizo ya katiba. Ilitakiwa ukuu wa wilaya iwe nafasi ya kutuma maombi kabisa. Na swala elimu na uzoefu lizingatiwe.
 
1. Je, Heshima ya Cheo cha Ukuu wa Wilaya imepanda au imeshuka?

2. Je, mwenye Umri wa Miaka kuanzia 45 au 50 anastahili kuitwa Kijana?

3. Je, Kuteua Makundi Maalum Kiuweledi ( Professionally ) kuwa Wakuu wa Wilaya ni Political Failure au Political Success?

4. Je, ni kweli kwamba kila Mtu tu ( ili mradi anapumua na kujamba 24/7 ) basi anapashwa kuwa Political Figure na Kuteuliwa?

5. Je, Teuzi za Ukuu wa Wilaya ni takwa la Uongozi wa Kisayansi au ni Gulio Maalum la Kulipana Fadhila?

6. Je, Teuzi zimezingatia Historia ya Kiutendaji ya Mteuliwaji na hata Uwezo wake wa Kifikra na Kupambanua 'Issues' zenye Kuhitaji Akili Kubwa?

7. Je, kama ' JF Great Thinkers' tumeshajiuliza ni kwanini Watanzania wametumia muda mrefu Kusubiria huu Uteuzi na kwanini baada ya Uteuzi kutoka tunajadili sana 'Personalities' na si Kazi ngumu iliyoko mbeleni mwa Wateuliwa huku wengine tukiona kwamba Walioteuliwa ndiyo wanaenda kuwa Msaada wetu wa Maisha yetu Magumu na Njaa tulizonazo mpaka katika Kope za Macho yetu?

Haya GENTAMYCINE nasubiri Majibu yenu kwa haya Maswali yangu Saba ( 7 ) tu hapa ila namalizia kwa Kusema Tanzania bado ina Safari ndefu kufika kule inakotaka kwenda na sasa pengine ni wakati Muafaka Watanzania wenye Kuitakia Mema nchi hii ili iondokane na 'Uswahili' huu ninaouona tukaungana na kuomba Katiba Mpya.

Dogo uliyeula 'Siha' usiniangushe huko.
Akizingua huko atazinguliwa,mwenzie alizinguliwa.
 
1. Je, Heshima ya Cheo cha Ukuu wa Wilaya imepanda au imeshuka?

2. Je, mwenye Umri wa Miaka kuanzia 45 au 50 anastahili kuitwa Kijana?

3. Je, Kuteua Makundi Maalum Kiuweledi ( Professionally ) kuwa Wakuu wa Wilaya ni Political Failure au Political Success?

4. Je, ni kweli kwamba kila Mtu tu ( ili mradi anapumua na kujamba 24/7 ) basi anapashwa kuwa Political Figure na Kuteuliwa?

5. Je, Teuzi za Ukuu wa Wilaya ni takwa la Uongozi wa Kisayansi au ni Gulio Maalum la Kulipana Fadhila?

6. Je, Teuzi zimezingatia Historia ya Kiutendaji ya Mteuliwaji na hata Uwezo wake wa Kifikra na Kupambanua 'Issues' zenye Kuhitaji Akili Kubwa?

7. Je, kama ' JF Great Thinkers' tumeshajiuliza ni kwanini Watanzania wametumia muda mrefu Kusubiria huu Uteuzi na kwanini baada ya Uteuzi kutoka tunajadili sana 'Personalities' na si Kazi ngumu iliyoko mbeleni mwa Wateuliwa huku wengine tukiona kwamba Walioteuliwa ndiyo wanaenda kuwa Msaada wetu wa Maisha yetu Magumu na Njaa tulizonazo mpaka katika Kope za Macho yetu?

Haya GENTAMYCINE nasubiri Majibu yenu kwa haya Maswali yangu Saba ( 7 ) tu hapa ila namalizia kwa Kusema Tanzania bado ina Safari ndefu kufika kule inakotaka kwenda na sasa pengine ni wakati Muafaka Watanzania wenye Kuitakia Mema nchi hii ili iondokane na 'Uswahili' huu ninaouona tukaungana na kuomba Katiba Mpya.

Dogo uliyeula 'Siha' usiniangushe huko.
Namba 7 ifute hakuna mweye njaa hiyo hapa tanzania
 
Back
Top Bottom