The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Shirika lipate mapato mengi na litoe gawio la faida kwa Serikali.Kwani saizi hawafiki point B kwa gharama nafuu?faida kwa nani na vipi ? na faida ipi ? Monetary yaani Shirika lipate mapato zaidi au faida ya watu kuweza kufika point B kwa gharama nafuu ?
Huu ni muda wa kufanya nini na huduma zipi mwananchi anayezipata kwa sasa ? Na hii huduma ya usafiri wakati wake sahihi ni upi ? na kama ni kosa limefanyika / lilifanyika suluhisho ni kuweka bei ambayo sio rafiki kwa mwananchi wa kawaida hence kukosa yote yaani (monetary na socially)?
Wateja wakiwa wengi sana kati ya basi na train ipi ina gharama kubwa ya uendeshaji ?
unamaanisha ya kuwa na njia nyingi au chache ? Kama nyingi tuongeze njia zaidi ? Hizo njia hazina gharama ya kuzitengeneza na kuzifanyia repair ? Na usafirishaji wa mizigo mizito kipi ni cost effective train au magari / malori ?
This is another argument ambayo sioni faida ya kuongelea hapa huenda miaka kumi ijayo tukawa tunasema aliyeingia mikataba na hao wachina na sijui kina nani alikuwa mjinga wa kutupwa..., that's a blame game ambayo kwa leo nadhani nina more constructive issues za kufanya..., Na kama tungetaka kama nchi kuondoa uwezo wa mtu mmoja kuamua aliyepo sasa asingekubali kuendelea na Sheria inayomruhusu kufanya anachotaka
Huu Ni mda wa kuendelea kujenga msingi kwa Maumivu,wakati wa kuja kupata Huduma Bora nj baada ya kukuza Uchumi na Watu kuwa na kipato Cha Kuridhisha Middle Income.
Kosa lilifanyika na sukuhisho Ni wekeka hizo Bei ili kupunguza hasara,ukumbuke ndege Zina Bei kubwa na Watu wanapanda Hakuna Cha Kukosa vyote..
Wateja wengi Ila wanalipa jero keep Ni hasara Ni Kama Tanesco mnakiwa na wateje weeengi wa buku 2 mbili mwisho wa siku Hakuna Cha Maana mnapata Ni Bora upeleke kwa wateje wachache wenye viwanda na Pesa unaonekana.
Nyandao wa Barabara ukiwa mkubwa unapunguza gharama za matengenezo na unazalisha Uchumi kwa haraka kuliko ujinga wa reli.Malori Ni flexible na yanafika kila sehemu tofauti na reli so principal ya demand vs supply itashusha Bei za usafirishaji wa Barabara/malori..
Mliojenga reli Ni tembo mweupe ndio maana mnatumia nguvu Sana na itakuwa hasara mazima.