balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,743
- 13,657
Ukitumia zaidi ya saa wanakurudishia nauli au?Dar - Moro 60mins mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitumia zaidi ya saa wanakurudishia nauli au?Dar - Moro 60mins mkuu.
Hata ndege wapo wanaopandaView attachment 2440365
Hata kama ni mapendekezo sidhani kama mlifikiria au kuwaza kwa kinagaubaga, huko Anatorglo mnaenda kupaka mafuta ili kung'arisha hiyo nauli na si vinginevyo.
Ukute mmeshaandaa wazungumzaji wenu wa kutetea hiyo nauli na hapo ndiyo watakuwa wengi ukumbini.
Uwekezaji ni long term kuna watu wanawekeza ku-break even ni after 200 years au generation...., Uendeshaji ndio ninakuuliza Je watu wakiwa wengi gharama za uendeshaji kati ya train na basi ipi ni nafuu ?Kutakuwa hakuna maana Kama utachaji nauli ambayo haifikii hata robo ya gharama za uendeshaji na uwekezaji..
Unajua kwa mizigo kutumia train tunaokoa kiasi gani katika maintanance ya barabara ?, unajua mtu kuja na kapu lake la machungwa Dar kwa bei nafuu au kuleta mchele kwa bei nafuu itapelekea wewe kuweza kupata bei nafuu ?Sasa tulijenga Cha Nini Kama tutakuwa tunatumia Kodi ya Nchi kuendeshea sgr? Huu si Ni upumbavu?
Unadhani private sector ikisema hizo elfu kadhaa hazitoshi sisi na shareholder wetu kugawana faida nani atalipia difference kama sio sisi through kodi zetu ?Na hapa Sasa ndio huwa inakuja Ile maana ya private sector kujenga na kuendeshwa wenyewe.
Hata watete hawatapata abiria,, nauli lazima iwe chini ya nauli ya mabasiView attachment 2440365
Hata kama ni mapendekezo sidhani kama mlifikiria au kuwaza kwa kinagaubaga, huko Anatorglo mnaenda kupaka mafuta ili kung'arisha hiyo nauli na si vinginevyo.
Ukute mmeshaandaa wazungumzaji wenu wa kutetea hiyo nauli na hapo ndiyo watakuwa wengi ukumbini.
Wampe azam,, maana bila hivyo watu watapiga pesa sanasanaUwekezaji ni long term kuna watu wanawekeza ku-break even ni after 200 years au generation...., Uendeshaji ndio ninakuuliza Je watu wakiwa wengi gharama za uendeshaji kati ya train na basi ipi ni nafuu ?
Unajua kwa mizigo kutumia train tunaokoa kiasi gani katika maintanance ya barabara ?, unajua mtu kuja na kapu lake la machungwa Dar kwa bei nafuu au kuleta mchele kwa bei nafuu itapelekea wewe kuweza kupata bei nafuu ?
Hivi ingekuwa pesa tu ndio kila kitu kwanini hata DAWASA au TANESCO wasingechaji maji hata mara nne ya bei ya sasa kama issue ni kupata as much as possible moneywise ? Au ndio ile Unajiibia mwenyewe mfuko wa shati unaweka mfuko wa suruali....
Unadhani private sector ikisema hizo elfu kadhaa hazitoshi sisi na shareholder wetu kugawana faida nani atalipia difference kama sio sisi through kodi zetu ?
Au unadhani kwanini hata nje (UK for example) Privatization ya Rail ime-prove hard to implement na mpaka routes nyingine kuwa re-nationalized ?
Au unadhani Private company ikiona safari ya morogoro jumatatu faida yake ni ndogo kuweza kugawa na shareholders wetu bado watakwenda huko , au watapiga hodi serikalini kwamba gharama ya safari za jtatu nyie ndio mlipie ?
Why huna mood?Hiyo ya sawa na ndege imebidi nicheke japo leo sina mood ya kucheka kabisa
Kwanini Azam asijenge yake ashindane na hii ? Au alete mabehewa yake na train yake alipie matumizi ya reli...Wampe azam,, maana bila hivyo watu watapiga pesa sanasana
kulia lia!! Ina maana huelewi usafir wa tren unatakiwa uwe ngarama nafuu au bure. Kwa nchi ambayo haina mikakati hata umeme wa kuchaji simu ni shidah, bwawa la nyerere limefanywa mtaji, kwaiyo unataka umeme wa kuzungusha rim za tren walipe wana inchi 100%😂😂😂 huoni ni vituko hivi mbaya zaid na umeme wenyewe haupoNa ndio maana wamewaletea za kuendana na maisha yenu ya kulia.lia
SahihiNafikiri kwakua muda utakua mdogo kulinganisha na basi. ..at least hata elfu 20 inaleta mana. ..angalia muda unaotumia kwa basi then linganisha huu
Na walioajiriwa nao hamnazo kukubaliana nao. Tz ngumu!Lengo ni kuua hilo shirika
Wamiliki wa mabasi na magari ya mizigo ndio michezo yao hii kuhijumu shirika
Nauli za mabasi zitapanda zikaribiane na za SGR. Ili iwe rahisi kuchagua SGRView attachment 2440365
Hata kama ni mapendekezo sidhani kama mlifikiria au kuwaza kwa kinagaubaga, huko Anatorglo mnaenda kupaka mafuta ili kung'arisha hiyo nauli na si vinginevyo.
Ukute mmeshaandaa wazungumzaji wenu wa kutetea hiyo nauli na hapo ndiyo watakuwa wengi ukumbini.
Sasa taarifa imetolewa na LATRA alafu unasema watatoa taarifa tena? Ni taarifa ipi hyo?Hiyo ni bei ya nauli walizopendekeza wao trc then latra watakusanya maoni ya wadau ili wacrosscheck pande zote kupata bei sahihi ya mlaji. Kama mlaji napendekeza nauli ya dar moro iwe 6000
1. Kwa kuanzia wa round off hizo hela mfano; 394 iwe 400; 353 iwe 350 nkView attachment 2440365
Hata kama ni mapendekezo sidhani kama mlifikiria au kuwaza kwa kinagaubaga, huko Anatorglo mnaenda kupaka mafuta ili kung'arisha hiyo nauli na si vinginevyo.
Ukute mmeshaandaa wazungumzaji wenu wa kutetea hiyo nauli na hapo ndiyo watakuwa wengi ukumbini.
Gharama halisi ni nini? Nikuulize ukipanda ndege kwenda mwanza na mimi nikapanda basi kwenda mwanza wewe utatumia masaa 2 hadi matatu .mimi nitatumia masaa siyo chini ya kumi na tano . Unadhani nauli zitafanana?Unalipia kufika mapema au gharama halisi za kusafirishwa? Na mabasi yakiwahi kufika Moro wawatake abiria kuongeza nauli, kama 10,000/= waongeze shs 2,000/=.
Mkuu hizo bei ni mapendekezo tu, bei halisi itatolewa baada ya kukusanywa kwa maoni ya wadau na kuyafanyia kaziSasa taarifa imetolewa na LATRA alafu unasema watatoa taarifa tena? Ni taarifa ipi hyo?
Faida haitakuja leo, ule mradi ni miaka 25Ila bado unaleta hasara Wala haija break even mzee, gharama za uendeshaji Ni kubwa kuliko mapato
Kwani mjadala ilikuwa ni endapo sekta husika ni huduma ama sio huduma?!Tunarudi kule kule swali dogo majibu lukuki / nje ya point ?, Kwahio unakubali kwa utilities na Public transport ni huduma ? (Ndio au Hapana) ?
Kubadilika kivipi?!Pili kwako wewe at what cost inabadilika kutoka kuwa huduma ?
Hivyo ndo kwako wewe... FINE, sina tatizo na hilo!Kwangu Mimi: jibu ni the lowest price possible na hii price tutajua iwapo tukishajua production costs na kipato cha mpewa huduma (ndio maana nchi zote serikali inatoa ruzuku kwenye huduma kama hizi iwapo bei itakuwa sio rafiki kwa mwananchi wa kawaida) sababu kama ferry kuvuka mtu kuja kuzalisha ni shida impact yake kwa nchi ni astronomical kwa uchumi.., Pia hizo ruzuku ndio kodi zetu zinatoka hapa na pale...
How should be?! Sizungumzii "how should be" nazungumzia uhalisia uliopo!Sasa kama Realistically Prices zinakuwa-inflated, uendeshaji mbovu, wizi na walamba asali kuiba.... Ni busara kusema kwamba hii ndio reality na tuiweke katika equation kwamba how things should be ?
Mfano wako wala haufanani...(Yaani hakuna alternative) ?
There was a time Utumwa ulikuwa ndio way of life (reality) sasa watu ambao walisema / waliona kwamba utumwa haufai na unaweza kubadilika walikuwa wanaishi kwenye fantasy World ?
Kwa hiyo baada ya hiyo Miaka 25 faida itajiletq tuu au siyo? 🤪🤪Faida haitakuja leo, ule mradi ni miaka 25
WAMILIKI WA MABASI MIONGONI MWAO NI WATU WENYE MAMLAKA.Hata kama ni mapendekezo sidhani kama mlifikiria au kuwaza kwa kinagaubaga, huko Anatorglo mnaenda kupaka mafuta ili kung'arisha hiyo nauli na si vinginevyo.
Ukute mmeshaandaa wazungumzaji wenu wa kutetea hiyo nauli na hapo ndiyo watakuwa wengi ukumbini.
--
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imepokea maombi kutoka Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuhusu nauli za abiria kwa treni ya njia ya Reli ya Kisasa – ‘Standard Gauge Railway’ (SGR) zitakavyotumika kwa huduma ya usafiri wa treni za abiria.
Kwa mujibu wa Kifungu Na. 21 cha Sheria Na. 3 ya LATRA, 2019 Mamlaka inapaswa kukusanya maoni ya wadau kabla ya kufikia uamuzi wa kuridhia viwango vya nauli kwa huduma zinazodhibitiwa na Mamlaka ikiwemo nauli za treni.
Katika kulitekeleza hilo, Mamlaka imeandaa mkutano wa kupokea maoni ya wadau wa usafirishaji, ikiwa ni pamoja na watoa huduma, watumiaji wa huduma na wananchi kwa ujumla. Mkutano utafanyika tarehe 19 Disemba 2022 jijini Dar es salaam katika Ukumbi wa Anatorglo.
Nauli zinazopendekezwa na TRC ni Kama ifatavyo:
View attachment 2440636
View attachment 2440637
Kutokana na umuhimu wa mkutano huo, LATRA inawaalika wadau wa sekta ya reli na wananchi kwa ujumla kushiriki katika mkutano huo wa kukusanya maoni ya wadau.
Vilevile, wadau wanaweza kuwasilisha maoni yao kwa Mkurugenzi Mkuu kwa maandishi kupitia LATRA Makao Makuu, Mtaa wa Tambuka Reli, Dodoma au ofisi za LATRA zilizopo Makao Makuu ya kila mkoa Tanzania Bara kabla ya tarehe 3 Januari 2023.
Aidha, maoni ya wadau yanaweza kutumwa kwa barua pepe kupitia anuani hizi: info@latra.go.tz na dg@latra.go.tz
Imetolewa na:
Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano – LATRA
06 Disemba, 2022
Wapi ambako treni Ina gharama nafuu? Tuwekee ushahidi hapa..kulia lia!! Ina maana huelewi usafir wa tren unatakiwa uwe ngarama nafuu au bure. Kwa nchi ambayo haina mikakati hata umeme wa kuchaji simu ni shidah, bwawa la nyerere limefanywa mtaji, kwaiyo unataka umeme wa kuzungusha rim za tren walipe wana inchi 100%😂😂😂 huoni ni vituko hivi mbaya zaid na umeme wenyewe haupo