Hivi unajua hata maana ya huduma ni nini ? Hebu nipe definition ya Huduma
Yaani tatizo lako BADO LILE LILE!
Narudia, angalia REALITY ON THE GROUND na sio mambo ya "what ought to be"!
Zamani kuvuka to/from Kigamboni ilikuwa TZS 100/= baada ya kununuliwa kivuko kipya nauli ikapanda to 200/= na wakaambiwa wasiokuwa na 200/= wapige mbizi...
Je, kile Kivuko hakikuwa huduma ile?
What happened baada ya kufunguliwa Daraja la Kigamboni!
Unajua magari yanatakiwa kulipa shilingi ngapi pale?
Sio huduma ile?
Na baada ya watu kulalamika kuhusu tozo kubwa kupita pale darajani, walijibiwa nini?!
Kwahio sababu reality watu ni wezi na wapigaji ni kwamba ni sawa na hakuna alternative ?..., Kwahio sababu Utumwa ulikuwa jambo la kawaida wakati ule ile ndio ilikuwa the way to go....
You've a very long way to go!
From economic theories, YOU'RE RIGHT, especially kwenye hili la reli lakini mimi najikita kwenye uhalisia!!
Kwani kuna mtu asiyetaka umeme wa Sh 50/Unit?!
Sasa hapa ndo watu tunaongea uhalisia kwa kuangalia huko tulikotoka!
Hata wakati Gesi ya Songosongo inaletwa Dar tuliambiwa bei ya umeme itashuka!
Sasa watu tukikuambia reality on the ground wewe bado unajikita kwenye theories!
Kama hatujengi Hoja kwa the best case scenario sasa tunafanya nini si tuache kujadili ideas na tuendelee kujadili issues and people......
Au unadhani mimi ni reporter and am reporting what is happening....
Nimesema yote...