Nauli hizi za SGR nani atapanda? Kutoka Dar - Moro Tsh 24,000?

Nauli hizi za SGR nani atapanda? Kutoka Dar - Moro Tsh 24,000?

It's a matter of time kabla hujanielewa na suala la umeme wa Bwawa la Nyerere pale nilipokuambia tena na tena kwamba mnaosubiri umeme wa bei rahisi, MNAJIDANGANYA...

Na ile siku, kabla sijaamua kukuacha uendelee na fantasies zako, ulikuwa unatumia hoja hizo hizo "umeme ni huduma"... economies of scale!
We jamaa niliamua kukuacha baada ya kuwa unakwenda kule na kurudi huku ? Hivi unadhani nchi gani umeme / rail service / Maji sio huduma ?

By the way kama kule majibu umeshindwa kuyajibu na hapa takuwa najisumbua....

Umeme kuwa bei ya ghali sio kwamba production wise ile ndio gharama bali kuna wizi na mirija ya watu kuliko kuharibu uzi wa watu turudi kule kujibu suala la umeme

Kuhusu Train hapa unadhani watu pesa itapatikana kufanya bei kubwa watu wachache kupanda at the same operation cost au pesa ndogo watu wengi kupanda at the same operational cost ?

Pili unadhani hata huko UK na kwingineko serikali inatoa subsidy kiasi gani whenever there is a private companies running public transport (and you know why) ? kama isingekuwa huduma si wangeacha laws of market zichukue mkondo wake ? Na unadhani zile routes za mabonde kuinama kuna mtu angepeleka usafiri wake ?
 
View attachment 2440365
Hata kama ni mapendekezo sidhani kama mlifikiria au kuwaza kwa kinagaubaga, huko Anatorglo mnaenda kupaka mafuta ili kung'arisha hiyo nauli na si vinginevyo.

Ukute mmeshaandaa wazungumzaji wenu wa kutetea hiyo nauli na hapo ndiyo watakuwa wengi ukumbini.
Nchi yetu ina mambo ya ajabu! Wamiliki wa mabasi ndio wamependekeza hayo, huwezi kuamini na imepita hivyo!
 
We jamaa niliamua kukuacha baada ya kuwa unakwenda kule na kurudi huku ? Hivi unadhani nchi gani umeme / rail service / Maji sio huduma ?
Uliniacha au mimi ndo niliamua kuachana na wewe baada ya kuona huelewi!

Tafuta ule uzi uone kama nilijibu posts zako za mwisho, na wala sijui uliandika nini manake niliona napoteza muda na mtu anayeongea kwa kutumia Economics Principles 101

Btw, hiyo hoja ya huduma hata hapa si umeitoa
By the way kama kule majibu umeshindwa kuyajibu na hapa takuwa najisumbua....
Nilishindwa kukujibu niliamaua kuachana na wewe!!
Umeme kuwa bei ya ghali sio kwamba production wise ile ndio gharama bali kuna wizi na mirija ya watu kuliko kuharibu uzi wa watu turudi kule kujibu suala la umeme
Nilikuambia unatumia fantansy na huangalii reality on the ground; na reality yenyewe ndo hiyo unayooneshwa hapa leo huku bado ukiwa kule kule kwenye fantasy!
Kuhusu Train hapa unadhani watu pesa itapatikana kufanya bei kubwa watu wachache kupanda at the same operation cost au pesa ndogo watu wengi kupanda at the same operational cost ?
Hoja sio watu watapata au hawapati hoja ni kwamba usitarajie mkiona miradi kama hii eti ndo bei zitashuka
Pili unadhani hata huko UK na kwingineko serikali inatoa subsidy kiasi gani whenever there is a private companies running public transport (and you know why) ? kama isingekuwa huduma si wangeacha laws of market zichukue mkondo wake ? Na unadhani zile routes za mabonde kuinama kuna mtu angepeleka usafiri wake ?
The problem unajenga hoja kupitia "what ought to be"!
 
View attachment 2440365
Hata kama ni mapendekezo sidhani kama mlifikiria au kuwaza kwa kinagaubaga, huko Anatorglo mnaenda kupaka mafuta ili kung'arisha hiyo nauli na si vinginevyo.

Ukute mmeshaandaa wazungumzaji wenu wa kutetea hiyo nauli na hapo ndiyo watakuwa wengi ukumbini.
Mtajijua na sgr zenu 🤪🤪.

Tembo mweupe is loading
 
siku tutakapotumia teknolojia vzr, wapuuzi wengi tutawatoa kwenye mfumo na mambo yataenda sawa. kitakachotuokoa ni Technology tu kwa sasa,
 
Duniani kote hizo treni hazijawahi kuwa nafuu tena unakuta sehemu nyingine nauli ni kubwa kuliko ndege kwa umbali huo huo. Labda kama hizi zetu ni locomotive na si za umeme
 
View attachment 2440365
Hata kama ni mapendekezo sidhani kama mlifikiria au kuwaza kwa kinagaubaga, huko Anatorglo mnaenda kupaka mafuta ili kung'arisha hiyo nauli na si vinginevyo.

Ukute mmeshaandaa wazungumzaji wenu wa kutetea hiyo nauli na hapo ndiyo watakuwa wengi ukumbini.
Unataka chap chap vya haraka afu hutaki kitoa Pesa ya haraka? Panda bus..

Uliwahi ona ndege Ina nauli ya chini?

Boti za fast ferries Zina nauli ndogo?

Barabara za express way ndio maana zinalipiwa huwezi komaa kwenye km 80km/hr..

Hamtaki hizo Bei hiyo sgr itakuwa tembo mweupe na italeta hasara Kama atcl na buses za Dart.
 
Hapa au hii ni kutaka kuwaonyesha wananchi kwamba kuendesha huu mradi ni garama kubwa au wananchi kutumia treni ni anasa.

Yaani kwenda Dodoma -60,000/-!.

Treni kwa waliostaarabika huko ni usafiri wa garama nafuu sana sisi unaenda kuonekana ni anasa.
Wewe unaonaje? Yaani tuanze kutoa Kodi kuja kugidia hilo li sgr la hasar?

Mlipapalikia vya starehe na Sasa lipeni hizo Bei
 
Hiyo ni bei ya nauli walizopendekeza wao trc then latra watakusanya maoni ya wadau ili wacrosscheck pande zote kupata bei sahihi ya mlaji. Kama mlaji napendekeza nauli ya dar moro iwe 6000
Nafikiri kwakua muda utakua mdogo kulinganisha na basi. ..at least hata elfu 20 inaleta mana. ..angalia muda unaotumia kwa basi then linganisha huu
 
View attachment 2440365
Hata kama ni mapendekezo sidhani kama mlifikiria au kuwaza kwa kinagaubaga, huko Anatorglo mnaenda kupaka mafuta ili kung'arisha hiyo nauli na si vinginevyo.

Ukute mmeshaandaa wazungumzaji wenu wa kutetea hiyo nauli na hapo ndiyo watakuwa wengi ukumbini.
Ndio maana bm na abood wameleta mabus mapya na kuendelea kuagiza mapya kila wakt wanajuwa kbsa kuwa wateja watakuepo maradufu
 
Zikishuka, wenye mabasi watapata wapi wateja🥱 just thinking out loud. Hilo figisu litakalopangwa hapo sijui. Maana watu wengi watakimbilia SGR mabasi ya Dar Dodoma yanayofaidigi nauli za wafanya interview na wafanyakazi sijui itakuwaje.
 
Hili nalo mkalitazame...🙌😂😂😂

fursh bana
 
Btw, hiyo hoja ya huduma hata hapa si umeitoa
Hivi unajua hata maana ya huduma ni nini ? Hebu nipe definition ya Huduma
Nilishindwa kukujibu niliamaua kuachana na wewe!!

Nilikuambia unatumia fantansy na huangalii reality on the ground; na reality yenyewe ndo hiyo unayooneshwa hapa leo huku bado ukiwa kule kule kwenye fantasy!
Kwahio sababu reality watu ni wezi na wapigaji ni kwamba ni sawa na hakuna alternative ?..., Kwahio sababu Utumwa ulikuwa jambo la kawaida wakati ule ile ndio ilikuwa the way to go....
Hoja sio watu watapata au hawapati hoja ni kwamba usitarajie mkiona miradi kama hii eti ndo bei zitashuka

The problem unajenga hoja kupitia "what ought to be"!

Kama hatujengi Hoja kwa the best case scenario sasa tunafanya nini si tuache kujadili ideas na tuendelee kujadili issues and people......

Au unadhani mimi ni reporter and am reporting what is happening....
 
Zikishuka, wenye mabasi watapata wapi wateja🥱 just thinking out loud. Hilo figisu litakalopangwa hapo sijui. Maana watu wengi watakimbilia SGR mabasi ya Dar Dodoma yanayofaidigi nauli za wafanya interview na wafanyakazi sijui itakuwaje.
Mikoa yote Kuna sgr? Wilaya zote Kuna sgr?
 
Back
Top Bottom