Una uhakika na ulichokiandika? Do simple research pls. Usafiri wa train ndio very chip duniani na ndio unapendwa na wengi. Usijaribu kutudanganya. Mradi wenyewe tulipigwa, haikutakiwa kujengwa kwa trillioni saba na ushee. Kwenye vichwa napo tumeletewa vibelenge (huyu anasema vibelenge vipya yule anasema vibelenge vilivyofufuliwa (used) tena kwa kusisitiza kwamba lazima aseme ukweli). Tumwamini nani kwenye hizi kauli kinzani?? Aya forget about that, kwenye nauli wanapendekeza hizi nauli za kimchongo ili magari yao yaendelee kutembelea barabarani. Are these people really serious? Hope hawa wanaishi ile Tanzania ya uchumi wa kati.