wilsonwizzo3
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 625
- 2,704
oky sio mbaya yote ni maoni ngoja tusubiri maCCM yataamuaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆🤣🤣Ili itete faida italazimu mabasi yasitishwe!,
Yale makopo yana uwezo wa kutumia 60mins?Dar - Moro 60mins mkuu.
Hata ingekuwa 2mins ila unapobeba watu wengi logistics arrangements zinarahisika na nauli inatakiwa kupunguza sana!! Sasa iweje aaghali kuliko bus za kawaida!?Yale makopo yana uwezo wa kutumia 60mins?
Sahau kuhusu muda na spidi kuzingatiwa. Tena zikianza kupishana na za mizigo ndiyo Dar-Dom itakuwa masaa 12Hizo bei sio kubwa endapo muda utazingatiwa
Maaan kama una haraka n nzur sana sasa hzo naul znafkia za ndege?
Wizi mtupu!Hata ingekuwa 2mins ila unapobeba watu wengi logistics arrangements zinarahisika na nauli inatakiwa kupunguza sana!! Sasa iweje aaghali kuliko bus za kawaida!?
Nimekosea hapo ni LATRAEwura?
Kama ni saaView attachment 2440365
Hata kama ni mapendekezo sidhani kama mlifikiria au kuwaza kwa kinagaubaga, huko Anatorglo mnaenda kupaka mafuta ili kung'arisha hiyo nauli na si vinginevyo.
Ukute mmeshaandaa wazungumzaji wenu wa kutetea hiyo nauli na hapo ndiyo watakuwa wengi ukumbini.
Yaan ushakalili kwamba Bei ya tren ni ndogo kuliko basi..haiko hivyo inadepend na huduma unayopewa.leo hii Azam marine wanachaji 25000 had 30000 Kwa usafir Zanzibar.. Kwa mwendo wa saa moja na nusu. NeNda mwanza hadi ukerewe masaa matatu hadi manne, nauli haizid 8000/ Kwa Meli.Hata ingekuwa 2mins ila unapobeba watu wengi logistics arrangements zinarahisika na nauli inatakiwa kupunguza sana!! Sasa iweje aaghali kuliko bus za kawaida!
TRC inatakiwa ijiendeshe kibiashara. Wakichaji nauli ya 6,000 hiyo faida itatoka wapi?! Labda serikali ikubali kufidia.Hiyo ni bei ya nauli walizopendekeza wao trc then latra watakusanya maoni ya wadau ili wacrosscheck pande zote kupata bei sahihi ya mlaji. Kama mlaji napendekeza nauli ya dar moro iwe 6000