yoteyametimia
JF-Expert Member
- Nov 20, 2022
- 210
- 262
Wenye haraka watapanda š„“
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakisema serikali haitakiwi kufanya biashara basi mwisho wake ndio madeni na kufirisika kwa mashirika yenyewe...TRC inatakiwa ijiendeshe kibiashara. Wakichaji nauli ya 6,000 hiyo faida itatoka wapi?! Labda serikali ikubali kufidia.
Ukiona hivyo huo usafiri siyo wa mwananchi wa hali ya chini. Umemlenga mwananchi wa hali ya juuHizo bei ziko juu sana kwa Mwananchi wa hali ya chini.
Mhuu mradi utakufa kabla ya kuanza. Hapo Abood lazima achekelee sana. Mtu alipe 2.5x ya nauli basi kwa kisa gani? Upuuzi mtupuView attachment 2440365
Hata kama ni mapendekezo sidhani kama mlifikiria au kuwaza kwa kinagaubaga, huko Anatorglo mnaenda kupaka mafuta ili kung'arisha hiyo nauli na si vinginevyo.
Ukute mmeshaandaa wazungumzaji wenu wa kutetea hiyo nauli na hapo ndiyo watakuwa wengi ukumbini.
Kwahiyo huo sio usafiri wa Wamachinga ndio waliokuwa wakipiga Vigelegele Nderemo Vifijo na Hoihoi kwenye hotuba za Mwendazake.Ukiona hivyo huo usafiri siyo wa mwananchi wa hali ya chini. Umemlenga mwananchi wa hali ya juu
Ni halali hiyo nauli kama kwa dk 60 upo moroDar - Moro 60mins mkuu.
Hii sio rahisi kama unavyodhani. Duniani kote mabasi ni nafuu kuliko treniRunning cost ya hii kitu ni kiasi gani ?
Navyojua mimi economy of scale kama inajaza watu wengi kuliko mabasi, na inatajaa sio kutembea tupu basi bei inaweza kushuka maradufu kuliko basi na bado pesa ya uendeshaji na chenji ikapatikana...
Wasisahau hii ni huduma na sio mradi wa kujitajilisha..., ni yuleyule mlipa tozo ndio anakamuliwa na huku
Dsm Dodoma naweza kulipa hiyo 59,000 iwapo itatumia saa 1 sawa na ndege vinginevyo hata 35,000 sitoi
Kwamba sababu ya mwendo gharama imeongezeka au uhalali unauelezea vipi ? Operation Cost ya hii kitu ni kiasi gani ?Ni halali hiyo nauli kama kwa dk 60 upo moro
Acha Story mkuu mabasi yanakuwa nafuu kulingana na watu / idadi ya wanaosafiri..., sababu kama volume ni kubwa unaweza kuhitaji mabasi hata kumi wakati huku una train moja... ?Hii sio rahisi kama unavyodhani. Duniani kote mabasi ni nafuu kuliko treni
Dar Dom je?Dar - Moro 60mins mkuu.
Sasa mkuu behewa ndio zile za Leyland za miaka ya 80 ulipe 59k kweli?Hiyo ya sawa na ndege imebidi nicheke japo leo sina mood ya kucheka kabisa
Usiangalie running costs tu. What about investment cost? Analipa nani huo mkopo?Acha Story mkuu mabasi yanakuwa nafuu kulingana na watu / idadi ya wanaosafiri..., sababu kama volume ni kubwa unaweza kuhitaji mabasi hata kumi wakati huku una train moja... ?
Ila kama wateja ni wawili ofcourse basi ni nafuu hapo naongelea running costs (ila unafuu wa mlipaji ijui unaongelea nini) sababu safari za Tube duniani kote sijaona zinafanywa na mabasi (virtually impossible) ukiongezea na traffic congestion...
Unyonge ni upumbavu, tutafute hela.Duuh hii haiwahusu wanyonge, tutabanana kwenye malori ya Dangote kuelekea huko maana hata Shabiby ya 20k kwetu ni utata.
Hizo treni lengo si kubeba watu wote. Lengo ni watu wachache wataolipa zaidi.Lengo ni kuua hilo shirika
Wamiliki wa mabasi na magari ya mizigo ndio michezo yao hii kuhijumu shirika
Unapendekeza kama nani?twice ukilinganisha na mabasi napendekeza iwe 20 tu dom iwe 40