Mkuu Asante.Haiwezekani wajinga kama wewe wakosekane katika jamii!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Asante.Haiwezekani wajinga kama wewe wakosekane katika jamii!
Yaani mtu alipe 60k kwenda Dodoma?!View attachment 2440365
Hata kama ni mapendekezo sidhani kama mlifikiria au kuwaza kwa kinagaubaga, huko Anatorglo mnaenda kupaka mafuta ili kung'arisha hiyo nauli na si vinginevyo.
Ukute mmeshaandaa wazungumzaji wenu wa kutetea hiyo nauli na hapo ndiyo watakuwa wengi ukumbini.
Hata petroli ni ghali zaidi Uingereza kuliko Tanzania na sababu ni tofauti ya uchumi!Tumelinganisha aina ya usafiri
Pamoja na kuwa ni huduma baadhi ya maeneo lakini nauli ni kubwa kuliko mabasi na serikali inatoa ruzuku. Mkuu kwenye hii bei, na uwekezaji haviendani. Serikali itatoa ruzuku. Lakini vyovyote vile treni lazima iwe ghali kulipia hizi trillioni. Vinginevyo, tutazalisha kila siku ili tulipie deni la SGRAisee duh... , hii ni hatari bin balaa kwahio unadhani huo mkopo hata wasipopata hata sumni wewe, mimi na wananchi wote hatutalipa ?
Unajua kitu economy of scale ? ukisema uweke laki laki, watu wakapanda wanne kwa wiki huo mkopo ndio utalipa ? au useme elfu 30 na train kujaa kila wakati ipi ina afadhali ?
Pili Unajua kwanini Train nyingi hata UK zimeshindwa kubinafsishwa kwa faida ? Sababu hii ni huduma kuna sehemu sio profitable kwenda ila kuna watu wanaishi na inabidi wafikiwe hivyo inapelekea hata serikali kutoa ruzuku (kwa private companies ili wanende huko) au kuamua ku-renationalize baada ya privatization (impact ya usafiri kama vile ilivyo umeme na maji ni kubwa) hivyo profit kwa jamii sio monetary pekee
Duh aisee hii ni hatari sana..., hivi unajua kuna kipindi ulikuwa unaweza kutoka Birmingham UK mpaka London kwa Pound moja ? (Hio ni system kama aliyokuwa anafanya Fast Jet / Budget Airlines) kuliko kwenda bodi tupu ni bora ukachukua watu kwa bei ndogo (ingawa mule ndani pia kuna watu wanatoa pesa zaidi)...
Pia ndio maana nikasema hivi unajua Tube System inayobeba commuters kila siku kwenda makazini n.k. isingeweza kufanywa na mabasi (virtually impossible) na huko tunakokwenda sio ajabu mji kama Dar mtu anakaa Morogoro anafanya kazi Dar kwahio huu usafiri kwake ukawa hata mara mbili kwa siku kwenda na kurudi...
Hivi kwenda Dodoma, si huwa tunalipa 45k, masaa 8 hadi 9. Kwani ukiongezea hiyo pesa kisha ukawahi kuzalisha?Yaani mtu alipe 60k kwenda Dodoma?!
Ndio maana kwenye hii distance wao wangelipa zaidiHata petroli ni ghali zaidi Uingereza kuliko Tanzania na sababu ni tofauti ya uchumi!
Sahihi kabisa, hapo ndio lengo la negotioation litafanikiwa kwa win win situation means mlaji na mtoa huduma wote waridhianeTRC inatakiwa ijiendeshe kibiashara. Wakichaji nauli ya 6,000 hiyo faida itatoka wapi?! Labda serikali ikubali kufidia.
Let's get back to basics..., Initial investment ya mkopo utalipa tu, hata iweje..., kwahio hapo cost inayobaki ni operation cost ambayo ni on-going... (kumbuka price isipokuwa rafiki na watu wana alternative utakuwa unasafiri bodi tupu)Mkuu nenda na kwenye mabasi check zile free riders zilikuwaje. P
Pamoja na kuwa ni huduma baadhi ya maeneo lakini nauli ni kubwa kuliko mabasi na serikali inatoa ruzuku. Mkuu kwenye hii bei, na uwekezaji haviendani. Serikali itatoa ruzuku. Lakini vyovyote vile treni lazima iwe ghali kulipia hizi trillioni. Vinginevyo, tutazalisha kila siku ili tulipie deni la SGR
Kama Moro Ni elfu24 basi Dodoma angalau iwe elfu50Hapa au hii ni kutaka kuwaonyesha wananchi kwamba kuendesha huu mradi ni garama kubwa au wananchi kutumia treni ni anasa.
Yaani kwenda Dodoma -60,000/-!.
Treni kwa waliostaarabika huko ni usafiri wa garama nafuu sana sisi unaenda kuonekana ni anasa.
It's a matter of time kabla hujanielewa na suala la umeme wa Bwawa la Nyerere pale nilipokuambia tena na tena kwamba mnaosubiri umeme wa bei rahisi, MNAJIDANGANYA...Running cost ya hii kitu ni kiasi gani ?
Navyojua mimi economy of scale kama inajaza watu wengi kuliko mabasi, na inatajaa sio kutembea tupu basi bei inaweza kushuka maradufu kuliko basi na bado pesa ya uendeshaji na chenji ikapatikana...
Wasisahau hii ni huduma na sio mradi wa kujitajilisha..., ni yuleyule mlipa tozo ndio anakamuliwa na huku
Kwa hiyo mitumba ndugu yangu sahauKama unafika mapema let say nusu saa au dk 45 upo moro ni sawa.
Sasa ni zamu ya walamba asali na ambao hawafiView attachment 2440365
Hata kama ni mapendekezo sidhani kama mlifikiria au kuwaza kwa kinagaubaga, huko Anatorglo mnaenda kupaka mafuta ili kung'arisha hiyo nauli na si vinginevyo.
Ukute mmeshaandaa wazungumzaji wenu wa kutetea hiyo nauli na hapo ndiyo watakuwa wengi ukumbini.
Kwa siku unajua wanaingiza sh ngapi?Hakuna sehem usafiri wa treni ni nafuu. Kifo cha mwendokasi ni matokeo ya nauli ndogo hivyo kushindwa kuleta magari mengi na huduma kuwa mbovu.
Hata wanaofanya biashara za daladala nauli ni ndogo ndio maana uwekezaji hafifu.
Tuanze kuishi kwenye uhalisia.