Nauli hizi za SGR nani atapanda? Kutoka Dar - Moro Tsh 24,000?

Shirika lipate mapato mengi na litoe gawio la faida kwa Serikali.Kwani saizi hawafiki point B kwa gharama nafuu?

Huu Ni mda wa kuendelea kujenga msingi kwa Maumivu,wakati wa kuja kupata Huduma Bora nj baada ya kukuza Uchumi na Watu kuwa na kipato Cha Kuridhisha Middle Income.
Kosa lilifanyika na sukuhisho Ni wekeka hizo Bei ili kupunguza hasara,ukumbuke ndege Zina Bei kubwa na Watu wanapanda Hakuna Cha Kukosa vyote..

Wateja wengi Ila wanalipa jero keep Ni hasara Ni Kama Tanesco mnakiwa na wateje weeengi wa buku 2 mbili mwisho wa siku Hakuna Cha Maana mnapata Ni Bora upeleke kwa wateje wachache wenye viwanda na Pesa unaonekana.

Nyandao wa Barabara ukiwa mkubwa unapunguza gharama za matengenezo na unazalisha Uchumi kwa haraka kuliko ujinga wa reli.Malori Ni flexible na yanafika kila sehemu tofauti na reli so principal ya demand vs supply itashusha Bei za usafirishaji wa Barabara/malori..

Mliojenga reli Ni tembo mweupe ndio maana mnatumia nguvu Sana na itakuwa hasara mazima.
 
Nchi nyngne ni usafir wa bure kabsa uku kwetu ni anasa
 
Kwani bei ya nauli inategemea muda wa safari?
 
Yaan 5000/= kwa lisaa limoja na nusu morogoro haiwez kuwa sawa kbsaaaaaaa
Afadhal hata 15k au 18k ili fedha zliztumik zird
 
Hizi nauli ni bei rahisi sana. Sijui kwa nini mnalalamika?
 
Walamba Asali Wanataka Kutuuwa Bure, Wamezidi Fitna
 
Hili ni tatizo linalotengenezwa ataibuka mwingine ataunda kamati ifuatilie itakuja na bei tunayoitaka halafu tutaambiwa Fulani anajali wanyonge,ni msikivu mitano tena.
 

Kuna mkono wa wenye mabasi kuhujumu mradi siyo bure
 
Mhuu mradi utakufa kabla ya kuanza. Hapo Abood lazima achekelee sana. Mtu alipe 2.5x ya nauli basi kwa kisa gani? Upuuzi mtupu
Ndipo hapo akina abood, allysaid, newforce watatuma watu wao kwenye huo mkutano kama wadau, hao ndiyo watapiga kelele kwenye mic kudai nauli ya treni ibaki hiyohiyo.

Lengo ikose abilia.
 
Hata watete hawatapata abiria,, nauli lazima iwe chini ya nauli ya mabasi
Kwa sababu ya ushamba zile siku za uzinduzi mtapanda wengi na baada ya ushamba kuisha mtaanza kupungua na kurudi kwenye mabasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…