Baba akipendekeza upikwe ugali maharage wewe kama mtoto kutengua ni utata.Hiyo ni bei ya nauli walizopendekeza wao trc then latra watakusanya maoni ya wadau ili wacrosscheck pande zote kupata bei sahihi ya mlaji. Kama mlaji napendekeza nauli ya dar moro iwe 6000
Acha uongo hakuna basi inayoweza kwenda dar moro kwa dk 60 punguza chaiMabasi yana uwezo huo tatizo ni sheria zenu, labda kama hukuwahi kusafiri au umri.
Kwa nauli ya elfu 29 kama ni muda wa saa moja tu iko vizuri kuliko.kutumia karibu masaa saba kwa basi ma spidi limit barabarani kibaoDar - Moro 60mins mkuu.
Tena muongo huyo aliyekubuhuAcha uongo hakuna basi inayoweza kwenda dar moro kwa dk 60 punguza chai
Miradi mingi itatusabishia tatizoKatika sehemu tuliingizwa mkenge na kiongozi wa nchi ni huu mradi. Tutapata maumivu mpk huko kiama kwa huu mradi.
Uko sahihi ila hapa hatuongelei familia, hayo ni maslahi ya wananchi lazima serikali iangalie huku na hukuBaba akipendekeza upikwe ugali maharage wewe kama mtoto kutengua ni utata.
Mbona nauli ya ndege hiyo MkuuNauli sio mbaya, muhimu waangalie muda wa kusafiri na ubora wa mabehewa, hasa kwa daraja la kawaida, SGR lazima iwe na ubora wa mabehewa na muda wa safari ili kuitofautisha na reli ya kawaida.
45k ya wapi hiyo? Nauli ni 25k, imezidi 30kHivi kwenda Dodoma, si huwa tunalipa 45k, masaa 8 hadi 9. Kwani ukiongezea hiyo pesa kisha ukawahi kuzalisha?
Hahaha..HII IMEKAAJE? MBONA KUSAFIRI KWA BASI NI BEI NDOGO KULIKO TRENI SASA?
Elf 24 sio rafikiBei siyo rafiki kwa sisi wa kipato cha kawaida na kiushindani wa biashara haipo sawa.
Naunga mkono hoja, hakuna SGR yoyote ya Africa itajilipa kwa kusafirisha abiria!, usafirishaji wa abiria ni service only, not for profit!, kiukweli nchi hii tuna mijitu mijinga sijapata kuona!. Nauli ya SGR lazima iwe ndogo kuliko nauli ya basi ili iwe incentive kuvutia watu kupanda SGR!. Haya mambo sisi wengine tuliyaona kitambo na tukashauri, Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta...Sasa mkuu kama tunazungumzia kinachoendelea na sio jinsi ya kuweza kuboresha hatuna tofauti na wale mababu zetu waliosema wanadiscuss people au events na sio ideas...; Hakuna mtu ambae haoni kinachoendelea kwamba ndivyo sivyo.., ila hio kazi ya ku-report tunawaachia kina Pascal Mayalla wafanye kazi yao wengine sisi hapa tunaongelea mawazo / fikra zetu no matter kama zitafanyika au kutofanyika katika kizazi chetu