mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,983
- 6,171
Baba akipendekeza upikwe ugali maharage wewe kama mtoto kutengua ni utata.Hiyo ni bei ya nauli walizopendekeza wao trc then latra watakusanya maoni ya wadau ili wacrosscheck pande zote kupata bei sahihi ya mlaji. Kama mlaji napendekeza nauli ya dar moro iwe 6000