Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

niliwahi kusikia wao wanapenda kuwahi kuacha

wanahesabia kama ni ushindi
💯@% correct!! Niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mwanadada mmoja ikafika wakati tukahitilafiana. Akawa anapiga simu kwa marafiki zake wakipiga stories ikifikia kipengele cha kunizungumzia mimi anatamka kauli moja kuwa yeye huwa haachwi badala yake yeye anaacha 😆😆😆😆 alikuja kukutana na surprise ya mwaka mamamamaaaaaamaaaeeeee
 
Hello wakuu,
Nimeona nishare sababu Niko Katika Hali mbaya mawazo Mabaya YA kujidhuru yananijia kichwani....sijawahi kupenda kama nilivompenda yeye kila kitu kilikua vizuri gafla akakata mawasiliano week 3 nikimpigia hapokei sms hajibu nimehangaika nikaongea Na dada Na kaka yake lkn bado alinikalia kimya....mara ya mwisho kuwasiliana nae tuliwasiliana vizuri tu...mipango yetu ilikua tufunge ndoa Na alipanga mwezi Huu aje nyumbani kujitambulisha lkn gafla imrtokea Bada ya kimya kirefu siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu...naumia Na sijawahi kumkosea chochote Ila ameamua kunifanyia Huu ukatili
Naumia Sana najiuliza maswali ambayo sipati majibu
Ulikua unataka umshikishe ndoa kakushtukia.
 
Back
Top Bottom