Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
- Thread starter
- #401
ShukraniBasi endelea kumbembeleza atakuelewa utafurahia mahusiano yenu.
Kila la kheri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShukraniBasi endelea kumbembeleza atakuelewa utafurahia mahusiano yenu.
Kila la kheri.
Pole Sana mkuuNjoo inbox tuyajenge.
Namimi ni mhanga.
Mke niliyetaka kumuona kaingia mitini
😍😍😍😍Ahsante babu nitafunga safariPole sana Mjukuu
Imani yangu kwamba, Kila jambo hutokea Kwa sababu.
Huenda huyo mpenzi wako, angekusumbua mbele ya safari
Hivyo Mungu ameamua kukuepusha na mengi
Wito wangu kwako, ni kuendelea kuwa imara ukizidisha maombi. Yupo Mume sahihi ambaye Mungu amekuandalia.
Kama nafasi inapatikana, uje Kijijini utusalimie Mimi na Bibi yako.
Kuna Kijana hapa jirani wa Mzee Mkwizi hajaoa, unaweza ukaja tukawakutanisha mkawa marafiki 😜
😂Huko Juu kuna kuachana wiki 3,hapa chini kuna siku 5 ??
Mimi pamoja na Bibi yako tumeajiandaa kukupokea😍😍😍😍Ahsante babu nitafunga safari
Wewe ni bogus ,hujielewi nini unakitakaBaada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Hapa pia atakuja na sababuHapa aliibiwa simu mkuu
fresh tu.Bora wewe mchumba, mimi nauona mwaka unaisha kwa divorce ambayo wifr ana force baada ya miaka 15 ya ndoa na watoto wa 4.
Nimeamua kumpa anachotaka.
Hapa kesho nimeitwa dawati la jinsia polisi.
Ukaona umalize kwa sauti!Andante me pia nliona ameamua kuniacha kimya kimya
Kufikiri Kuna mtu anasemu muhimu kwenye maisha yako mapaka kuhisi huna haja ya kuishia bila yeye ni shida ya afya ya akiliHuwenda
🤗🤗🤗🤗🤗Mimi pamoja na Bibi yako tumeajiandaa kukupokea
Najua unapenda sana Kuku choma, nimemwambia Bibi yako akuandalie wa kutosha 🤗
Karibu 🙏
🙌🙌🙌🙌🙌Hapa pia atakuja na sababu