Naumia sana ninaposhindwa kuwa msaada kwa wazazi wangu

Ila mkuu suala la kukata mawasiliano sio jambo jema maana hata kuwasalimia tu inaweza kuwa faraja kubwa sana kwao...wazazi Huwa wanahitaji kuwajali tu hata kwa namna ya kuwa karibu yao

Mkuu nakuelewa unachokisema ila huwezi kuelewa uzito wa kiatu usichokivaa. Mama yangu akiongea nasikia kuishiwa nguvu kabisa. Kiukweli anahitaji msaada na sio salamu.

Utakua unapiga simu kumjulia hali kila siku mtu anaehitaji msaada na wewe kila siku uko mikono mitupu?

Yaani assume mtoto kafukuzwa ada shuleni halafu baba kila siku anapiga simu kusalimia tu na sio kuleta suluhisho? Ni sawa?
 
Hongera sana elon mask watu kama nyinyi ndio mnaotakiwa humu sio kama Mzee

Hongera sana elon mask watu kama nyinyi ndio mnaotakiwa humu sio kama Mzee wa kupambania kutwa kutuelekeza machimbo ya mbususu na namna ya kuzichakata
Mbususu ndio zinatupa hasira ya kutafuta mkwanja kwa nguvu zote

Mbususu na hustling are direct proportional to each other
 

Sijasema wazazi wanamakosa au Hawana.
Nilichosema ni kuwa mtoto Hana wajibu wala jukumu la kusaidia wazazi wake, tena Kwa mazingira ya Vijana wengi ambao wao(Vijana) wenyewe hawajiwezi, hawajimudu kimaisha.

Yaani kijana Aache kuwaza future yake na watoto wake awaze wazazi?
Mzazi ni mungu
wa pili, huwezi kuwaza kumsaidia mungu Bali kumshukuru.

Sisi kama wazazi wa kileo, Hii kwetu tuichukue kama changamoto. Maana uzee wetu NAO sio MBALI.
 
usikate tamaa !kwa hicho kidogo ulichonacho wasaidie iko iko na mungu atafungua njia.mlilie mungu usiku wa manane afungue njia zako ,zile ibada za satisa na sanane muombe kwa dini yako mungu atafanya njia .
 
Reasoning yako katika utoaji wa hoja huwa upo Vizuri saana mkuuu.
#Nakukubali
 

Kama unaelewa kuwa kuacha urithi mbali na elimu ni jadi yetu, ugumu uko wapi wewe kuelewa pia kwamba ni jadi yetu kuwasaidia wazazi wetu? Na sio tu wazazi, mtu yeyote aliewahi kukusaidia kwa lolote, unatakiwa ulipe fadhila. Sio jukumu ila ni busara, wema, upendo na utu. Vyote hivyo ni miongoni mwa tofauti zinazotutofautisha sisi na wanyama.

Kukosa uwezo wa kufanya kitu hakubadilishi uhalisia wa kwamba unatakiwa ukifanye. Katika kutambua kuwa unapaswa kufanya jambo fulani ndipo utakapopata chachu ya kutafuta namna ili ufanikishe na sio kubweteka na kujificha kwenye kivuli cha "SIO JUKUMU LANGU".

Asiejitambua ni mtu anaetumia nguvu zote kukwepa kusaidia waliomsaidia. Face your fears, running is never a solution in the long run. Na hio ni sehemu ya kuwa mwanaume.
 
Endelea kupambana ipo siku utawasaidia ,nifuraha sana kama unapata kipato chakuweza kuwasaidia wazazi hata kwa kidogo tu inaleta amani ya moyo sana.
 
Ninachoshukuru Mungu kwaajili yako ni kwamba hujataja kizuizi chochote cha ww kuweza kujitaftia riski yako kama matatizo ya kiafya

Lakini naomba nikuaminishe kwamba kile unachopitia ni kama mtu anapoumwa na njaa kwasababu muda aliozoea kula haujafika na haimpi shida ile njaa kwasababu anajua ni muda tu ndyo kikwazo cha njaa.

Naomba nikuaminishe kuwa hakuna kitu kizuri kama kile ulichokipata kwa taabu.kwahyo kupambana,kuomba sana Mungu ndyo kila kitu.
 
Good Relief
 
Hongera sana elon mask watu kama nyinyi ndio mnaotakiwa humu sio kama Mzee

Hongera sana elon mask watu kama nyinyi ndio mnaotakiwa humu sio kama Mzee wa kupambania kutwa kutuelekeza machimbo ya mbususu na namna ya kuzichakata
Samahani mkuu, Ina bidi tujifunze kufurahia uwepo was watu wote.
๐Ÿ‘‰Hulka ya mwanadamu ni kufurahia Yale yote yalio mazuri machoni mwake, ana sahau lililo zuri kwako laweza kuwa baya kwangu.
๐Ÿ‘‰Mimi ni jobless wa kimataifa, hata huyo Mzee wa kupambania, ana jua Sana.
๐Ÿ‘‰Nina mpango wa kuomba anagalau ki barua kwa Mzee wa kupambania, ili nipate angalau ka ugali๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ’ช
 
Daaah! ๐Ÿ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ