Ila mkuu suala la kukata mawasiliano sio jambo jema maana hata kuwasalimia tu inaweza kuwa faraja kubwa sana kwao...wazazi Huwa wanahitaji kuwajali tu hata kwa namna ya kuwa karibu yao
Mbususu ndio zinatupa hasira ya kutafuta mkwanja kwa nguvu zoteHongera sana elon mask watu kama nyinyi ndio mnaotakiwa humu sio kama Mzee
Hongera sana elon mask watu kama nyinyi ndio mnaotakiwa humu sio kama Mzee wa kupambania kutwa kutuelekeza machimbo ya mbususu na namna ya kuzichakata
Ila mtiberi hili jambo mtambuka sana wazazi hawana makosa wao wamepata akili wamejikuta wapo Duniani na inabidi wafuate nature inavyotaka Mkuu uwe na pesa ausiwe na pesa au hali yoyote kiuchumi nature inakutaka uzae/uzalishe mtoto tu kwasababu umeumbwa na Genye, upweke ukikaa pekeyako nk
Mfano Mimi niliweka standard sana at least niwe na mke na mtoto nikiwa na kipato ila mpaka Sasa Sina na umri unaenda mpaka sasa nawaza nimseti manzi yeyote mkali nimuweke ndani hivyohivyo au kumpiga mimba tu mambo mengine yatajulikana mbele kwa mbele Mkuu sipendi hivi ila nimejipata akili nakujikuta Niko na vitu(resources) za kufanya hivyo na zimeumbwa kwa mtindo(alogarithim) ya lazima zitumiwe Kama hujatumia utapata adhabu i.e tumeumbwa na MASHINE haijari unauchumi wala malengo kihasi gani yenyewe inadinda tu uingize kule, Tumeumbiwa UMRI haujari ushatoboa au bado wenyewe unaenda tu unahitaji watoto wake kikuchota mav*** ukizeeka.
Mkuu haya mambo sio ya kulaumiana sisi binadamu muda mwengine tupo nje ya uwezonayo hakuna asiyepanga mipango ila moitishaji Mungu
usikate tamaa !kwa hicho kidogo ulichonacho wasaidie iko iko na mungu atafungua njia.mlilie mungu usiku wa manane afungue njia zako ,zile ibada za satisa na sanane muombe kwa dini yako mungu atafanya njia .Yaani jinsi maisha yalivyo magumu kwangu nawaza maishani mwangu nisije kupata mtoto akaja duniani kuja kula msoto kama Mimi.
Maana Mimi mwenyewe niรฑa wazazi lakini siwezi kuwasaidia msaada wowote wanahangaika nauzee wao mtoto wao sieleweki.
Bora niwe wa mwisho kuteseka ila damu yangu nisiilete duniani kula huu msoto.
Najilaumu na utu uzima huu sina msaada wowote kwa wazazi Bora wasinge nizaa naona Hadi aibu kurudi home au kupiga simu.
Reasoning yako katika utoaji wa hoja huwa upo Vizuri saana mkuuu.Shida zangu kivipi?
Hiyo Hana shida, Ila hiyo shida anajiendekeza, kujipendekeza na kujipa stress Kwa vitu ambavyo sio halali kwake.
Sasa MTU uzae mtoto alafu baadaye mtoto aumie kisa anashindwa kukusaidia, ilihali mzazi ndiye alitakiwa amsaidie mtoto mpaka awe na uwezo wa kujimudu kimaisha.
Mtu akishaweza kujimudu kimaisha automatically atakuwa na uwezo wa kutunza wazazi wake
Reasoning yako katika utoaji wa hoja huwa upo Vizuri saana mkuuu.
#Nakukubali
Kwenye jamii yetu ni jadi mzazi kuacha urithi mbali na Elimu.
Ninachojaribu kumueleza mtoa mada na vijana wengi wanaokabiliwa na changamoto hiyo(Mimi nikiwepo) kuwa wasijisikie vibaya, wala kukulaumu, wala kujipa stress zisizo na kichwa wala miguu. Kuhusu kusaidia wazazi ilhali Hawana uwezo wa kufanya hivyo.
Huwezi umia Kwa kitu ambacho sio wajibu au jukumu lako. Huko ni kutokujitambua
Good ReliefKaka/dada
Najua unavyojiskia kwa kushindwa kua msaada kwa wazazi wako ila amini kwamba haitakua hivyo siku zote. Endelea kumuomba Mungu akupe njia ya kupata mishe yoyote halali itakayokuletea chochote kitu au kama unayo ila haina maslahi sana basi akupe yenye maslahi.
Maisha ni hatua ndugu yangu. Usikate tamaa wala usijiskie vibaya. Endelea kutafuta mchongo wala usione aibu. Nimewahi kupitia hali kama yako. Mwenye nyumba wetu alikua ananipa maneno makali sana pale nilipokua nachelewesha kodi. Lakini mama yangu sasa hivi yuko kwenye nyumba yake niliyomjengea mwenyewe.
Mungu atakusaidia. Hesabu baraka zako za sasa kwamba haujafa na wala hauko hospitali ukiumwa maradhi mazito mazito
Mambo yatakaa sawa [emoji1545]
Ukipata site nzuri, naeza invest kidogo nilicho nacho ๐๐๐ชShukrani sana mkuu. Ngoja tuchangamkie hili.
Una maana gani???,
NawakubaliUna maana gani???,
Ukipata site nzuri, naeza invest kidogo nilicho nacho ๐๐๐ช
Samahani mkuu, Ina bidi tujifunze kufurahia uwepo was watu wote.Hongera sana elon mask watu kama nyinyi ndio mnaotakiwa humu sio kama Mzee
Hongera sana elon mask watu kama nyinyi ndio mnaotakiwa humu sio kama Mzee wa kupambania kutwa kutuelekeza machimbo ya mbususu na namna ya kuzichakata
Nakukumbusha Hakuna jobless Alie wahi kukubaliwa katika jamii.Nawakubali
Daaah! ๐Samahani mkuu, Ina bidi tujifunze kufurahia uwepo was watu wote.
๐Hulka ya mwanadamu ni kufurahia Yale yote yalio mazuri machoni mwake, ana sahau lililo zuri kwako laweza kuwa baya kwangu.
๐Mimi ni jobless wa kimataifa, hata huyo Mzee wa kupambania, ana jua Sana.
๐Nina mpango wa kuomba anagalau ki barua kwa Mzee wa kupambania, ili nipate angalau ka ugali๐๐๐ช