Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
Kiswahili tabu sanaAmelaaniwa mtu yule amtrgemeaye mwanadamu na kumfanya kuwa Kinga yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiswahili tabu sanaAmelaaniwa mtu yule amtrgemeaye mwanadamu na kumfanya kuwa Kinga yake
Eti ana mana ilo boksi ulilo hifadhia meno n empty 😂😂😀😀😀Hebu subir kwanza twende taratibu
Kwamba mm ndo akili kisoda😀😀
Dogoli niajeEti ana mana ilo boksi ulilo hifadhia meno n empty 😂😂
Saf kwemaDogoli niaje
Kunawatu wananiona mtu sana ujue 😃😃Eti ana mana ilo boksi ulilo hifadhia meno n empty 😂😂
Mtafute mchungaji katunzi hapa dar akuombee utaponaHabari zenu.
Wakati mwingine unapoona tiba za hospitali hazisaidii, unaruhusiwa kujaribu na upande wa pili.
Kwa unyenyekevu mkubwa, naombeni msaada wa kumpata mtaalamu aliyepo hapa Pemba muda huu.
Nimeshuka mchana huu hapa Bandarini.
Nimekuja kwa ajili ya kupata matibabu yangu binafsi.
Kama kuna mwenyeji wa Pemba, naombeni mnisaidie.
Najua nitakejeliwa, ila hamjui yanayonifika.
Niko tu nashangaa hapa, sina ninayemjua.
Hata Pm, njoo tu unipe maelekezo.
Asanteni.
NB:
Naona mnaniita kila majina, mimi mpumbavu na mjinga kwa maana nimekuja bila connection, ila LAITI MNGEJUA NINAVYOUMWA,WALA MSINGENIPA HAYO MAJIBU YA HOVYO.
NIMEKUJA HUKU ILI HATA KAMA NIKIMPATA, NIANZE MATIBABU HUKU HUKU.
Ungeelezea na unachoumwaHabari zenu.
Wakati mwingine unapoona tiba za hospitali hazisaidii, unaruhusiwa kujaribu na upande wa pili.
Kwa unyenyekevu mkubwa, naombeni msaada wa kumpata mtaalamu aliyepo hapa Pemba muda huu.
Nimeshuka mchana huu hapa Bandarini.
Nimekuja kwa ajili ya kupata matibabu yangu binafsi.
Kama kuna mwenyeji wa Pemba, naombeni mnisaidie.
Najua nitakejeliwa, ila hamjui yanayonifika.
Niko tu nashangaa hapa, sina ninayemjua.
Hata Pm, njoo tu unipe maelekezo.
Asanteni.
NB:
Naona mnaniita kila majina, mimi mpumbavu na mjinga kwa maana nimekuja bila connection, ila LAITI MNGEJUA NINAVYOUMWA,WALA MSINGENIPA HAYO MAJIBU YA HOVYO.
NIMEKUJA HUKU ILI HATA KAMA NIKIMPATA, NIANZE MATIBABU HUKU HUKU.
Basi nifanyie mpango na mimi nihamie huko.Eee nasongea home,Kanda ya ziwa
Asante sana, karibu tupate hata juice kidogo.Weekend njema madam teacher
Nishatoka huko mkuu now nipo Unguja.
Tukutane Kizimkazi Jumatatu.Habari zenu.
Wakati mwingine unapoona tiba za hospitali hazisaidii, unaruhusiwa kujaribu na upande wa pili.
Kwa unyenyekevu mkubwa, naombeni msaada wa kumpata mtaalamu aliyepo hapa Pemba muda huu.
Nimeshuka mchana huu hapa Bandarini.
Nimekuja kwa ajili ya kupata matibabu yangu binafsi.
Kama kuna mwenyeji wa Pemba, naombeni mnisaidie.
Najua nitakejeliwa, ila hamjui yanayonifika.
Niko tu nashangaa hapa, sina ninayemjua.
Hata Pm, njoo tu unipe maelekezo.
Asanteni.
NB:
Naona mnaniita kila majina, mimi mpumbavu na mjinga kwa maana nimekuja bila connection, ila LAITI MNGEJUA NINAVYOUMWA,WALA MSINGENIPA HAYO MAJIBU YA HOVYO.
NIMEKUJA HUKU ILI HATA KAMA NIKIMPATA, NIANZE MATIBABU HUKU HUKU.
Yaani aelekezwe mganga bila hata kusema anaumwa nini?Kunae uzi humu wa mganga wa kienyeji konki,.
Next weekend basiAsante sana, karibu tupate hata juice kidogo.
Uje Kanda ya ziwa?Basi nifanyie mpango na mimi nihamie huko.
Hongera kwa kusogea nyumbani Digba.
Kwa kweli akuombe radhiKunawatu wananiona mtu sana ujue 😃😃
mimi ni raisi wa ma jobless pro max, hivyo hiyo list ya matajiri Simo.JF kila mtu mjuaji,tajiri,ana afya njema...